Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

Sababu ya 2 nadhani ina mashiko

Models wengi ndio ambao hupenda sababu hiyo ya pili, kwa sababu wanazozijua wao wenyewe. Nimeisikia hiyo live kabisa kutok kwa mwanadada ambaye kajifungua kwa njia hiyo. Nilistaajabu sana, ingawa yeye wala hakuonekana kushtuka kufanya hivyo.
 
Models wengi ndio ambao hupenda sababu hiyo ya pili, kwa sababu wanazozijua wao wenyewe. Nimeisikia hiyo live kabisa kutok kwa mwanadada ambaye kajifungua kwa njia hiyo. Nilistaajabu sana, ingawa yeye wala hakuonekana kushtuka kufanya hivyo.

mbona hata akijifungua kwa njia ya kawaida kama Paloma alivyojifungua baada ya mda inaendelea kuwa mnato. Nadhani she was misinformed huyo mlimbwende. Au nimekosea mdau?
 
Last edited by a moderator:
Mimi nashangaa sana kuona watu wazima na akili zao wanawaza na kuamini kuwa kujifungua kawaida zile sehemu zinalegea eti haziwi tight. This is stupid
 
Hivi kweli wanadamu tumefikia mahali tunamkosoa Mungu kwamba njia zake hazifai. Eti mtoto anayezaliwa kwa operation ana akili kuliko anayezaliwa kawaida. SERIOUSLY?????????????????? Hakika hizi ni nyakati za mwisho.
 
Mimi nashangaa sana kuona watu wazima na akili zao wanawaza na kuamini kuwa kujifungua kawaida zile sehemu zinalegea eti haziwi tight. This is stupid

inategemea kitchen party wanafundishwa nn
 
mbona hata akijifungua kwa njia ya kawaida kama Paloma alivyojifungua baada ya mda inaendelea kuwa mnato. Nadhani she was misinformed huyo mlimbwende. Au nimekosea mdau?

hahaaa..........vitu vinarudi normal lakini na matunzo yanatakiwa....na haswa mazoezi!!!
 
Hivi kweli wanadamu tumefikia mahali tunamkosoa Mungu kwamba njia zake hazifai. Eti mtoto anayezaliwa kwa operation ana akili kuliko anayezaliwa kawaida. SERIOUSLY?????????????????? Hakika hizi ni nyakati za mwisho.

Nyakati za mwisho binadamu wanamsahau muumba wao lkn chamoto watakiona
 
Kwahiyo unataka kuniambia mazoezi yanaurudisha uke uliotanuka kuwa normal?

una miaka kumi na ngapi?!?!? (sorry for this kwes'shen pmoses95, but i really want to know)
kutanuka kwa uke/misuli ya uke kunasababishwa na mambo kadhaa na kuna matibabu yake, na licha ya mazoezi kwa ujumla wake, pia kuna mazoezi maalumu kwa kukaza misuli ya uke! so kazania mkeo apende kufanya mazoezi! hizi mambo zimeshajidiliwa sana humu kama sikosei au ukigoogle unaweza pata majibu.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo unataka kuniambia mazoezi yanaurudisha uke uliotanuka kuwa normal?

nimejifungua mtoto wa kg 4.9 kawaida na nimerudi kuwa normal tena kuliko mwanzo, baba mtoto shahidi. Mungu si mjinga asingeweka kujifungua kawaida kama pangekuwa panabakia lishimo. Hizo ni propaganda za kumpinga Mungu. Operation ifanyike kwa sababu za kiafya tu na si sababu za kicosmetic
 
nimejifungua mtoto wa kg 4.9 kawaida na nimerudi kuwa normal tena kuliko mwanzo, baba mtoto shahidi. Mungu si mjinga asingeweka kujifungua kawaida kama pangekuwa panabakia lishimo. Hizo ni propaganda za kumpinga Mungu. Operation ifanyike kwa sababu za kiafya tu na si sababu za kicosmetic

Halafu wakishafanyiwa hiyo operation, wanadeka sana
 
hahaaa..........vitu vinarudi normal lakini na matunzo yanatakiwa....na haswa mazoezi!!!

Mazoezi gani hayo Paloma? Kwa mfano nauliza tu lakini. Tafiti isiyo rasmi. :smile-big:
 
Last edited by a moderator:
Waathirika wa VVU pia hushauriwa wasinyinyeshe ili kuwakinga watoto wao.
mayb ndo sababu, na unajua mtu hawezi kukwambia nimeathirika ndo maana sinyonyeshi

Ninao wajua mimi sio life tight, na kila anayejifungua utasikia anasema hana maziwa ya kutosha ndo maana hanyonyeshi. Napata wasiwasi na hili maziwa kuwa machache
 
Niliwahi msikia pia Dr mmoja kwenye kipindi cha afya ya uza akisema wanawake wengi mijini kwa sasa wanajifungua kwa njia ya upasuaji na sababu kubwa ni kuwa huwa wanafanya mapenzi kwa kutumia njia ya haja kubwa ambayo huwa inauwa misuli ambayo huwa inatumika sana wakati wa kusukuma mtoto.
 
Akijifungua kwa operation mtoto hawi wa kawaida?
Uwe na adabu, wakati vifo vya mama na watoto vinahitajika kupunguzwa wewe bado unadhani ni sifa kuzaa kwa kusukuma?

Grow up!

Kongosho

Kwa sisi watu wazima tunajua kwamba TIGO inahusika sana hapo...hakuna anayetaka aibu...
 
Back
Top Bottom