Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

Hivi kwa nini wanawake wanao push mara nyingi wakipush wana poromosha mitusi kwa waume zao?
 
Roughly, ni wanaume wangapi Bongo huwa wanakuwepo ndani ya maternity ward wakati wanawake zao wakipush?

sio lazima uwepo wakati wa kupush ni vizuri uwepo wakati wa clinic na hata umjue Dr. wake ni nani sasa hapo ndio utajua mkeo ameomba elective cesarean au anafanyiwa CS kwa sababu ya complications. lakini kama tunashinda JF mke anaenda mwenyewe basi kuna uwezekano akajiamulia vile atakavyo
 
hahahaaaaa kuna majibu yapo humu ni hatar loo jama emu kila mtu abebe msalaba wake kama Nivea alivyosema
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa nini wanawake wanao push mara nyingi wakipush wana poromosha mitusi kwa waume zao?

One possible answer:

"Scientists at Keele University found that swearing can actually have a painkilling effect, especially for people who don’t usually swear. Swearing accelerates the heart rate, mimicking aggression and triggering the “fight or flight” response. This natural response lessens perceived pain due to physiological changes taking place in the body. So there you go – now you have an excuse for calling your husband all those horrible names!"

See more at: Will I Swear During Labour? - Health & Parenting
 
sio lazima uwepo wakati wa kupush ni vizuri uwepo wakati wa clinic na hata umjue Dr. wake ni nani sasa hapo ndio utajua mkeo ameomba elective cesarean au anafanyiwa CS kwa sababu ya complications. lakini kama tunashinda JF mke anaenda mwenyewe basi kuna uwezekano akajiamulia vile atakavyo

Kama wewe ni mwanaume ungependelea mwanaume aliyekupa ujauzito awepo wakati unapoush?

Au kama wewe ni mwanaume ungependa kuwepo au kama mwanamke uliyempa ujauzito akitaka uwepo wakati anapush utakubali kuwepo?
 
Kama wewe ni mwanaume ungependelea mwanaume aliyekupa ujauzito awepo wakati unapoush?

Au kama wewe ni mwanaume ungependa kuwepo au kama mwanamke uliyempa ujauzito akitaka uwepo wakati anapush utakubali kuwepo?

kila mtu anaweza kuwa maoni tofauti juu ya hili.
 
Kwa hiyo wewe unaangalia zaidi short term badala ya long term effects za kujifungua kwa kisu?

Wataalamu wanadai kuwa kama hakuna complications za ujauzito au wakati wa labour, basi virginal birth ni safer zaidi kuliko kisu.

Hawangalii tuu kujifungua salama kwa ujauzizto husika bali pia kwa mimba zijazo. Pia inadaiwa virginal birth ni nzuri zaidi for the woman's future fertility.

Pia usisahau kuwa operesheni zote zinakuja na risk zake. Life style ya mhusika inachangia sana. Kwa mfano, cesarean siyo option nzuri kama mhusika ni overweight, no obese au kama ana magonjwa mengine kama ya moyo.

Halafu kunasuala la attachment. Waliosoma social work watakuwa wanajua nina maana gani. Inadaiwa kuwa wanawake waliojifungua kwa kisu hawana attachment na mtoto kulinganisha na wale waliojifungua kwa njia ya kawaida.

Hii ni kwa sabanu baada ua cesarean mwanamke anakuwa amejikita zaidi kwa yeye kurecover na inaweza kuwa vigumu kwake kuweka focus yake yote kwa mtoto.

"Babies who were born through a non-labor cesarean don’t receive the helpful hormone rush that helps them to be alert, feed and bond. They also aren’t likely to be placed on mother right away, negatively contributing to the problem. Research has shown that mammals whose babies are born by cesarean sometimes reject them."

Source: The Physical Impact of Cesareans - by Pamela Udy

cc Sibonike, bibi.com, Ms.Lincoln, The mountain lion, mahondaw, Nivea, bona

kujifungua kwa kisu ni nusu umauti yan kuna kufa na kupona..mi naomba mungu akinijalia nijifungue kawaida kwakweli
 
Last edited by a moderator:
kweli kwani hata kucha wanasuguliwa kwa fundi, kukandwa kandwa mpaka saluni kwa massage mtindo mmoja , kula baga na kyepe egg....

sa mtu hata chupi yake kufua hawezi mpaka afue housegirl si majanga haya! !!
 
kufanya mazoezi wakati wa mimba na kuzingatia vyakula ni muhimu.......siyo chips....baga....

mie nakumbuka nilikuwa nakula ugali wa muogo uliochanganywa na dona.......na mboga za majani....na matunda.....na pia samaki au nyama ilikuwa mchemsho siweki.....na kila jioni nilikuwa natembea.....na nikajifungua mtoto kwa njia ya kawaida mwenye 4.5kg.......mtoto wa kwanza huyu......
 
Ufanye hivyo lakini wengine wanaona ni sifa eti....

may be kwa sababu hawasikii uchungu but kuna risk kubwa sana hawajui tu ...mi nkiwa pregnant kazi mwanzo mwisho kutembea ndio balaa mazoezi sasa ndio usiseme ili siku ya kuderiva robo Saa tu fyuuuu! teh teh..eeee mola nisaidie..
 
niliwai kusikia mama mwenye maambukizi ya vvu akijifungua kwa oparesion uhakika wa kuzaa mtoto asiye na maambukiz ni mkubwa zaidi kuliko akipush sasa sijui lina ukweli wowote!!!!!
 
Wengine hawataki kuujua huo uchungu. My best friend's wife alizaa kwa operation na anasema hataki kuzaa kawaida kwa sababu ya uchungu.
 
Asilimia kubwa huogopa ku experience the labor pains

Na wengine ni ili maambukizi ya HIV yasiende kwa mtoto
 
wengi wa hao wanaofanyiwa operation wanatumia ule mtandao wetu pendwa
 
Back
Top Bottom