Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 327
Ninao wajua mimi sio life tight, na kila anayejifungua utasikia anasema hana maziwa ya kutosha ndo maana hanyonyeshi. Napata wasiwasi na hili maziwa kuwa machacheYaa bt most of them ni kwaajili ya majukumu...so mtt anapata maziwa ile miezi 3 ya mwanzo,baada ya hapo ni maziwa ya kopo!(lyf tyt,sio kwamba wanapenda)