Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wakati mwingine madaktari, wanawasaidia... Saa wewe na kabamia kako ndo kije kupita kidumu cha lita 3, baada ya hapo ukiingiza atahic unamuingiza kidole tu
 
ni uoga wa maumivu tu wanawake wa mjin hamna lolote, kuzaa kwa hawa wanawake wa mjin ni zoezi ghali sana, kuanzia clinic za kila wiki from mwezi wa 1 mimba imeingia mpaka anajifungua, unakutana na ultra sound na t scan mara kwa mara na medications chungu mzima za gharama mara cjui kuongea calcium etc hapo hujaongelea hawataki udongo utackia siwez kula ugali mimba inataka mishikaki ya kule masaki au chips za american chips etc tabu chungu mzima alafu mwishowe unakutana na bill ya operations zaid ya milion, akirud home lazima mama ake aje wanakuongezea bill ya chakula tu.

hizo cost za mtoto ndo usiseme!!!!!
 
Wengine sababu ya kuliwa tigo hivyo huwezo wa kusukuma ni ziro.
 
Afya ya uzazi ni ya mama na baba mpeleke mkeo hospitali utajua kila kitu sio hapa JF kutoa lawama tu. Mimi binti yangu mimba zake zote alikuwa anaenda na mmewe na yeye bint ni wa dot.com anasema ataanzia wapi kuongea mambo ya CS na mmewe yuko hapo na DR. na ameshaeleweshwa kila kitu na DR! Alizaa normal wtt wawili watatu ndio alizaa kwa CS kwa sababuya complications lakini mme wake anajua kila kitu na yeye ndio alitoa go ahead ya CS so msiwe mnakaa vijiweni mkidanganyana pelekeni wake zenu clinic mtajua mengi sana.
 
Moja wengi....wanatumia tigo so wanaofia kuumia au kutoka nnya wakati wa kujifungua,pili maumivu wanaogopa
 
biashara yakujifungua kawaida tuachie wenyewe kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe mimi kuliko operation bora hii maku ichanike nianze moja!!

Kwahiyo wewe mkuu Nivea kauli mbiu yako ni "BORA MAKU KUCHANWA CHANWA KULIKO KULAMBA SCISSOR "
 
Last edited by a moderator:
Kupush ndio mpango mzima,kama K kutanuka mama zetu wangekuwa hawatamaniki wala nini!Yani upigwe bisu kisa kutunza K kwa ajili ya mwanaume ambaye hata ungekuwa na K ndogo kama nukta hamu ya kuonja hapa na pale atakuwa nayo!!alaaa!!

hahhaha k ndogo kama nukta.... nikiipata hii michepuko yote natupa kule lol!!!
 
mkuu,tatizo la hawa wa sasa hv hasa wa mjini wengi wao wanaliwa KABAANG hali inayosababisha wakose nguvu ya kupush kichanga,ndio maana wana-opt kupasuliwa kukwepa aibu coz mishuzi leba itakuwa mingi sana

Ha ha ha dah umetisha mkuu!
 
Tigo sidhani kama ina anythjng to do with kujifungua maana binti wa mama mwenye nyumba yangu bila tigo haondoki kitandani tena nikiwa bize basi ilikuwa at least mara 14 kwa wiki lkn mbona kajifungua juzi kwa njia za kawaida?

Tubu hiyo dhambi.
 
Afya ya uzazi ni ya mama na baba mpeleke mkeo hospitali utajua kila kitu sio hapa JF kutoa lawama tu. Mimi binti yangu mimba zake zote alikuwa anaenda na mmewe na yeye bint ni wa dot.com anasema ataanzia wapi kuongea mambo ya CS na mmewe yuko hapo na DR. na ameshaeleweshwa kila kitu na DR! Alizaa normal wtt wawili watatu ndio alizaa kwa CS kwa sababuya complications lakini mme wake anajua kila kitu na yeye ndio alitoa go ahead ya CS so msiwe mnakaa vijiweni mkidanganyana pelekeni wake zenu clinic mtajua mengi sana.

Roughly, ni wanaume wangapi Bongo huwa wanakuwepo ndani ya maternity ward wakati wanawake zao wakipush?
 
Kufanya operation ni biashara kubwa katika hospital siku hizi. Siamini kama wote wanaofanyiwa ilikuwa ni ya lazima. Daktari anahesabu kafanya ngapi hivyo mwisho wa mwezi mshiko unakuwa mkubwa!

Zipo cases ambazo kweli operation ni lazima lakini si nyingi kwa kiwango hicho. Inasemekana kuna akina mama wanaziomba siku hizi. Sijajua sababu yake!
 
sina tatizo na visu.. sawa tu ili mrad wajifungue salama..

Kwa hiyo wewe unaangalia zaidi short term badala ya long term effects za kujifungua kwa kisu?

Wataalamu wanadai kuwa kama hakuna complications za ujauzito au wakati wa labour, basi virginal birth ni safer zaidi kuliko kisu.

Hawangalii tuu kujifungua salama kwa ujauzizto husika bali pia kwa mimba zijazo. Pia inadaiwa virginal birth ni nzuri zaidi for the woman's future fertility.

Pia usisahau kuwa operesheni zote zinakuja na risk zake. Life style ya mhusika inachangia sana. Kwa mfano, cesarean siyo option nzuri kama mhusika ni overweight, no obese au kama ana magonjwa mengine kama ya moyo.

Halafu kunasuala la attachment. Waliosoma social work watakuwa wanajua nina maana gani. Inadaiwa kuwa wanawake waliojifungua kwa kisu hawana attachment na mtoto kulinganisha na wale waliojifungua kwa njia ya kawaida.

Hii ni kwa sabanu baada ua cesarean mwanamke anakuwa amejikita zaidi kwa yeye kurecover na inaweza kuwa vigumu kwake kuweka focus yake yote kwa mtoto.

"Babies who were born through a non-labor cesarean don't receive the helpful hormone rush that helps them to be alert, feed and bond. They also aren't likely to be placed on mother right away, negatively contributing to the problem. Research has shown that mammals whose babies are born by cesarean sometimes reject them."

Source: The Physical Impact of Cesareans - by Pamela Udy

cc Sibonike, bibi.com, Ms.Lincoln, The mountain lion, mahondaw, Nivea, bona
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom