ACADEMIA TODAY
Senior Member
- Jun 7, 2013
- 179
- 86
Napinga 100%
Mimi nimezaliwa kwa njia ya kawaida and am bright, watoto wangu wawili nimewaza kwa njia ya kawaida, mtoto wangu mkubwa hajawahi kushika chini ya namba tatu darasani, mdogo bado hajaanza shule bt he is clever
Labda watoto ndo sio bright bidada/mkaka
Sasa wewe ungezaliwa kwa upasuaji ungekuwa BRITGHER.....LOL
huo ni ukweli, uliza hata kwa madaktari ndugu, kupinga tuu haisaidii