mimi kuliko operation bora hii maku ichanike nianze moja!!
wanaogopa k kupanukaaa so mtu anaenda kuweka oda kbsa dat docta ampangie cku. Mimi hili nimlishuhudia kwa zaid ya watu watatu. Mungu nisaidie sitaki operation.
C kwe nal Nina wacwac na research yako...I wish upate experience kidoogo uchungu was wiki 2 mtoto hatoki.ukitoka pale uje post tena saw a eeeh
waulize wenyewe mimi sijui ndugu yangu wengine ni matatizo ya kiafya ,njia kutofunguka etcInamaana wataka kutuambia kuwa wanaochanika wakati wa kujifungua wana maku dhaifu na lege lege? .
Wa mjini wengi wanataka wabaki kuwa ''FORM TWO'' miaka yote.... ndoyo maana wanapenda sana kujifungua kwa operationSalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam,
Kati ya wajawazito 20 wanaofika mahospitalini kwaajili ya kujifungua 16 wanajifungua kwa operation na hii hutokea sana ktk private hospital.
Juzi juzi hapa nilisafiri kwenda kijiji cha mkoa flani hivi. I was there for two wks. Nilishuhudia wajawazito zaidi ya saba wakijifungua kwa njia ya kawaida. Ilinibidi nifanye kautafiti juu ya swala hili la ongezeko mara dufu ya watu wanaojifungua kwa operation . Nilichogundua ni kwamba Vijijini watu kwa asilimia 99.99 hujifungua kwa njia za kawaida na mijini asilimia78.32 ya wanawake hujifungua kwa njia ya operation.
Je hii inaashiria kuwa wanawake wa mijini ni dhaifu kiasi kwamba wanashindwa kujifungua kwa njia za kawaida, ama kuna sababu nyingine?
Na je hii haiwezi ikawa ni ujanja wa mahosipitali kujipatia pesa zaidi? kwasababu operation inagarama zake ati!
Ya aliyezaa na asiyezaa zipo tofauti...Kupanuka kwa K hakuna madhara makubwa kama kufanyiwa operation. Lkn hata K ikipanuka si huwa inajirudi
waulize wenyewe mimi sijui ndugu yangu wengine ni matatizo ya kiafya ,njia kutofunguka etc
biashara yakujifungua kawaida tuachie wenyewe kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe mimi kuliko operation bora hii maku ichanike nianze moja!!
Uwe na adabu, wakati vifo vya mama na watoto vinahitajika kupunguzwa wewe bado unadhani ni sifa kuzaa kwa kusukuma?
Grow up!
Na nyuso je, zitabaki kuwa form two?Wa mjini wengi wanataka wabaki kuwa ''FORM TWO'' miaka yote.... ndoyo maana wanapenda sana kujifungua kwa operation
Na hawa wachina, hakuna kinachoshindikana.... we kalagha bhahoooNa nyuso je, zitabaki kuwa form two?
Chips mayai zinaziba njia ya uzazi ndio maana wengi wana opt opasuaji
hii inaashiria kuwa wanawake wa mijini ni dhaifu kiasi kwamba wanashindwa kujifungua kwa njia za kawaida.
There you have it
Ni advantage kwa mwanamke pia, maana atazidi kupendwa..... Yaani mi niingie kama naingia mlango wa sebuleni, hakuna panaponibana... sirudii tena bana... Kitu still picture kwa kiswahili bana....LAKINI operation inafanya nanihino iendelee kuwa tight,that s advantage kwa wanaume