Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

biashara yakujifungua kawaida tuachie wenyewe kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe mimi kuliko operation bora hii maku ichanike nianze moja!!

Hahahaaaa...nimeipenda sana. Binafsi napenda wanawake natural...sio ktk kuzaa tu,ila generally,kuanzia mavazi,jinsi anavosuka,sipendi mawigi na mamake up kibao...sipendi bac tu!
 
'kinachotakiwa ni uzazi salama tu mleta mada basi.............hayo mengine ni mipango ya MUNGU atakavyokupangia'
 
Mimi siielewi Hospital ya Lugalo. Ukiachilia hili swala la kujifungua kwa operationi. Hawa wamama wanaojifungua kwa njia za kawaida. Asilimia 80 wanaojifungua Lugalo lazima waongezwe njia, kuchanwa na nyembe.
Sasa hili ni system ya jeshi au kitabibu.
 
Ukweli mtupu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi siielewi Hospital ya Lugalo. Ukiachilia hili swala la kujifungua kwa operationi. Hawa wamama wanaojifungua kwa njia za kawaida. Asilimia 80 wanaojifungua Lugalo lazima waongezwe njia, kuchanwa na nyembe.
Sasa hili ni system ya jeshi au kitabibu.

hii nayo kali
 
Ha ha ha, niko poa tu

Huyu ananiudhi, ujue enzi zetu akina mama wengi sana walikuwa wakati wa kujifungua, kuna Mwalimu wangu nikiwa darasa la 5 alifariki, niliumia mno. Kipindi hicho hakuna facilities za kufanya operation.

Afu Konnie siku hizi sijui umekuwaje...hadi nakuogopa!!!
 
mkuu naona wazidi mtia hasira zaidi best yangu.... Nivea samahani kwa niaba ya huyu pia best :A S kiss::A S kiss:
ulivyo mwepesi kukariri mzitoo kusahau am sure utarudia tena naukirudia tena ntakuitia mdm utimue mbio tena
 
Hivyo eh?! Sometimes hayo ma-Private Hospitals huwa yanachangia kwa sababu ya biashara tu, wanaweza kukuwekea complications za ajabu ukashangaa na roho yako ukajikuta tu unakubali kula kisu... hasa ukute huyo ndo alikuwa daktari wako toka mwanzo inakuwa ngumu kumbishia uanze kutafuta hospital nyingine itakayo-recommend ujifungue kwa njia ya kawaida. But sikatai wapo baadhi ya wanawake ambao wao wanaomba kabisa kuwa watajifungua kwa operation..................
 
Ha ha ha, niko poa tu

Huyu ananiudhi, ujue enzi zetu akina mama wengi sana walikuwa wakati wa kujifungua, kuna Mwalimu wangu nikiwa darasa la 5 alifariki, niliumia mno. Kipindi hicho hakuna facilities za kufanya operation.

Tunajidili sababu za kuongezeka kwa operation ndugu
 
Mimi siielewi Hospital ya Lugalo. Ukiachilia hili swala la kujifungua kwa operationi. Hawa wamama wanaojifungua kwa njia za kawaida. Asilimia 80 wanaojifungua Lugalo lazima waongezwe njia, kuchanwa na nyembe.
Sasa hili ni system ya jeshi au kitabibu.
ukitaka usiongezwe njia ni hela yako tu mkuu nilimzaa mtoto wa 5kg sikuchanika wala kuongezewa njia pesa iliongea tena kidogo tu kwa nesi unamwambia nsaidie nisiongezwe njia wala kuchaniaka mjini hapa ndugu yangu wewe,unamtupa mkeo kule eti huduma ni bure na kabaimaya chako unarudishiwa bujugwa yako inakuwa over size kwiwkwiwkwiwkwiwkwwi
 
Back
Top Bottom