asikwambie mtu mi nipo martenity nimejifungua kawaida. uchungu ni maumivu yasiyoelezeka. i almost gaveup. sitaki kukumbuka.
pamoja na hayo! kisu noma kisuuuuuu! mimi ntajikazaaaaaa nizae kawaida hapana kisu mimi!
may be kwa sababu hawasikii uchungu but kuna risk kubwa sana hawajui tu ...mi nkiwa pregnant kazi mwanzo mwisho kutembea ndio balaa mazoezi sasa ndio usiseme ili siku ya kuderiva robo Saa tu fyuuuu! teh teh..eeee mola nisaidie..
Of course, ndo maana nikakuuliza wewe kama wewe na siyo kwa niaba ya wengine.
pamoja na hayo! kisu noma kisuuuuuu! mimi ntajikazaaaaaa nizae kawaida hapana kisu mimi!
Kumbe bado!!
mola atakusaidia.....
Hahahaha kumbeee..
Kwenye no. 2 mkuu, Mmmh huo mnato wenyewe kama upo sawa, lakini kama ngoma yenyewe ishakuwa used mpaka elasticity imefika mwisho bora tu ujizalie kawaidaNot necessarily.
Kuna mwanadada mmoja alisema, hawa akina dada wa mjini wanataka wajifungue kwa operation kwa sababu hizi:-
Sasa suala la kuhoji ukweli wa nadharia hizo nawaachia ninyi.
- Kukwepa maumivu wakati wa kujifungua
- Sehemu yake ya uzazi ibakie intact kama mwanzo (mnato).
Kwenye no. 2 mkuu, Mmmh huo mnato wenyewe kama upo sawa, lakini kama ngoma yenyewe ishakuwa used mpaka elasticity imefika mwisho bora tu ujizalie kawaida
Salaam,
Kati ya wajawazito 20 wanaofika hospitalini kwa ajili ya kujifungua 16 wanajifungua kwa operation na hii hutokea sana katika private hospital.
Juzi juzi hapa nilisafiri kwenda Kijiji cha mkoa fulani hivi. I was there for two weeks. Nilishuhudia wajawazito zaidi ya saba wakijifungua kwa njia ya kawaida.
Ilinibidi nifanye kautafiti juu ya swala hili la ongezeko mara dufu ya watu wanaojifungua kwa operation . Nilichogundua ni kwamba Vijijini watu kwa asilimia 99.99 hujifungua kwa njia za kawaida na mijini asilimia78.32 ya wanawake hujifungua kwa njia ya operation.
Je hii inaashiria kuwa wanawake wa mijini ni dhaifu kiasi kwamba wanashindwa kujifungua kwa njia za kawaida, ama kuna sababu nyingine?Na je hii haiwezi ikawa ni ujanja wa mahosipitali kujipatia pesa zaidi? kwasababu operation inagarama.
Mtumishi ule mpango bado nausubiri..wajua ile adventure yetu ya mwaka huu?..ha ha! Mzima?