Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 551
- 156
Habari wana Jf.?
Enyi wanawake mliowapa na mnatazamia kuwapa wanaume wenu limbwata...
Inakuweje unampa limbwata mume wako hadi limbwata ya kutowapenda na kuwasaidia ndugu zake hata wazazi wake
Jirani yangu kafanyiwa hii, kiuchumi yuko safi sana, ni mfanyabiashara hotel, maduka pia mfanyakazi International org fulani, mke wake ndie msimamizi wa kila kitu,
wadogo zake wawili ni machinga wa dawa za kunguni. Kaka zake 3 ni wakulima wa jembe la mkono, Kijijini kwao amewajengea wazazi wake kibanda cha laki kama 6 huku yeye anaishi kwenye jumba la kama 500M, nasikia wazazi wake chakula kwao ni shida.
Majuzi kaenda kijijini kwao ila kafikia kwa wakwe zake, hakufika kwa wazazi wake..
Source: wadogo zake.
Eeekh.! Mungu niepushe limbwata isinipate..
Enyi wanawake mliowapa na mnatazamia kuwapa wanaume wenu limbwata...
Inakuweje unampa limbwata mume wako hadi limbwata ya kutowapenda na kuwasaidia ndugu zake hata wazazi wake
Jirani yangu kafanyiwa hii, kiuchumi yuko safi sana, ni mfanyabiashara hotel, maduka pia mfanyakazi International org fulani, mke wake ndie msimamizi wa kila kitu,
wadogo zake wawili ni machinga wa dawa za kunguni. Kaka zake 3 ni wakulima wa jembe la mkono, Kijijini kwao amewajengea wazazi wake kibanda cha laki kama 6 huku yeye anaishi kwenye jumba la kama 500M, nasikia wazazi wake chakula kwao ni shida.
Majuzi kaenda kijijini kwao ila kafikia kwa wakwe zake, hakufika kwa wazazi wake..
Source: wadogo zake.
Eeekh.! Mungu niepushe limbwata isinipate..