annito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 888
- 464
inategemea na akili ya mwanaume ilivyo km anashikika masikio unaburuza tu km yuko smart ndio hivyo tena imekula kwako binti.
ila tatizo mabinti wengi wanajisahu kuwa mwanaume hamalizi jambo haraka.. wengi huendelea kufanya uchunguz na kutafakari KIUME,
akirudia kuuliza tena unajua km mwanzo kumbe mwenzio yuko kivingine kichwani.. kimbembe km akili imeganda na hujashtukia...
himidin labda bahati mbaya teh teh
ila tatizo mabinti wengi wanajisahu kuwa mwanaume hamalizi jambo haraka.. wengi huendelea kufanya uchunguz na kutafakari KIUME,
akirudia kuuliza tena unajua km mwanzo kumbe mwenzio yuko kivingine kichwani.. kimbembe km akili imeganda na hujashtukia...
himidin labda bahati mbaya teh teh