Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,193
^^
Kuna ugumu gani mnaupata kusema ukweli kuwa mtoto huyu sio wako!
Mume anafikia hatua ya kupata mashaka,,baadae mnaenda DNA test ndio unasema kweli mtoto sio wako.Unaanza kusema oo! Ni wa kakaako au rafikio au ex wako.
Jamani,wanawake kuna ugumu gani mnapata kusema kweli?
^^
Kuna ugumu gani mnaupata kusema ukweli kuwa mtoto huyu sio wako!
Mume anafikia hatua ya kupata mashaka,,baadae mnaenda DNA test ndio unasema kweli mtoto sio wako.Unaanza kusema oo! Ni wa kakaako au rafikio au ex wako.
Jamani,wanawake kuna ugumu gani mnapata kusema kweli?
^^