Wanawake,,mpaka tuingie gharama ndio mseme ukweli huu?

Wanawake,,mpaka tuingie gharama ndio mseme ukweli huu?

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,193
^^
Kuna ugumu gani mnaupata kusema ukweli kuwa mtoto huyu sio wako!
Mume anafikia hatua ya kupata mashaka,,baadae mnaenda DNA test ndio unasema kweli mtoto sio wako.Unaanza kusema oo! Ni wa kakaako au rafikio au ex wako.
Jamani,wanawake kuna ugumu gani mnapata kusema kweli?
^^
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kumdanganya mpenzi wangu...siku ikitokea I will tell him the truth....

na mtu kama mechi za mchangani wacheza viwanja tofauti siku ikitokea lazima udangaye
 
Siwezi kumdanganya mpenzi wangu...siku ikitokea I will tell him the truth....

na mtu kama mechi za mchangani wacheza viwanja tofauti siku ikitokea lazima udangaye

^^
Wenzako wamekuwahi kukuambia kwa nini wanaficha?
^^
 
Heaven on earth bado saana aise hayajawahi nikuta na wala sijacheza ovyo mechi za mchangani
Nimekumiss sana kwa kweli ila jamaa yako grafani11 kaniambia nisiwe nakuambia eti nimekumiss anaona wivu

hahaa...hivo ni vizuri bana....we ukiwa mwingi wa habari lazima utafute wa kumbambikia

mwambie grafani11 apunguze wivu......mi ni wake wake peke yake........
 
Last edited by a moderator:
hahaa...hivo ni vizuri bana....we ukiwa mwingi wa habari lazima utafute wa kumbambikia

mwambie grafani11 apunguze wivu......mi ni wake wake peke yake........

Ila nahisi siku nikienda tuu huko nakuga na gunia la chawa na ndo maana sipendi kwenda huko maana huwa sipendi kutumia ile kitu ile wanasema kula pipi na maganda
Nitafikisha ujumbe kwa grafani11 aache wivu bana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom