Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,648
- 66,569
Am tired nampenda sanaYeah, hata Osama likifika suala la mapenzi anapaki mabomu pending.
Note: sisi wanaume tunaanza kutamani (yaani sex) ndio tunazama deep kwenye mapenzi...,
Ila hawa wenzetu(wanawake) wanaanza kukupenda taratibu, taratibu halafu baadae ndio wanafikilia kuhusu sex.
Ili uende sawa na hawa viumbe inabidi umlie tyming Mzee.
Wanawake huwa wanjua udhaifu wako mapema sana since day one, coz wao wanatumia hisia sana zaidi yetu nikupe mfano mdogo, kukuletea drama Ni kutaka ku-confirm tuu.Am tired nampenda sana
Dah ilo limeshindikana kashanijua naonaWanawake huwa wanjua udhaifu wako mapema sana since day one, coz wao wanatumia hisia sana zaidi yetu nikupe mfano mdogo, kukuletea drama Ni kutaka ku-confirm tuu.
Mwanamke anaweza kujua kuwa Kuna mwanamke mwenzie anakupenda kabla ya wewe kujua katika jamii.
Chunga sana usieleweke.
Dah itakuwa poaLabda Robert Heriel Mtibeli atakusaidia
Bado una muda usikate tamaa.Dah ilo limeshindikana kashanijua naona
Kinachotakiwa ni uwongo pro maxMimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha
Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha
Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo
Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mntaka tufake?
sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi kupenda kiufupi mapenzi yanatufanya tuwe dhaifu licha ya kuwa na mdom kama manara ikifika swala la mapenzi ukali unaisha
Achana na wanawake mkuu. Komaa na mwanamkeMimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha
Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha
Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo
Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mntaka tufake?
sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi kupenda kiufupi mapenzi yanatufanya tuwe dhaifu licha ya kuwa na mdom kama manara ikifika swala la mapenzi ukali unaisha
Amekuita huyo mtoa mada au hujaonakufanya nini mkuu
Amekuita huyo mtoa mada au hujaona
Angalia vizuri jamaa hajakucheck PM kweliSijaona mkuu