Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,764
- 3,402
Yaani mtu anaenda kula halafu akiwa huko anakupigia simu akurushie lipa namba wewe ndio ulipe.
Hivi hiyo ni akili au matope?
I mean, come on, am I missing a point or what?
Halafu mnataka haki sawa, hamsini kwa hamsini, like seriously (in babra hassan's voice)?
Hivi hiyo ni akili au matope?
I mean, come on, am I missing a point or what?
Halafu mnataka haki sawa, hamsini kwa hamsini, like seriously (in babra hassan's voice)?