Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
sijui ndio waniambia sa hivi
Umeshaanza kuingia kwny rada zangu
sijui ndio waniambia sa hivi
Ukweli ni kile kinachosemwa kurandana na hali halisiUkweli ni nini?
Do you even kow what "finding' is?Ni mara ya pili nakusoma ukiuita mtazamo au hata findings zako ndio Ukweli.
Nani kakuambia ukweli haujadiliwiSasa kama ndio ukweli kwanini umeleta watu wajadili?
Just give me acces to them the i will tell you!Haya msifie Michelle Obama basi umgegede, au angekuwa hai Mother Theresa.
mkuu nahisi wake za watu huwa wanachoshwa sana na ndoa zao!
hata ikitokea mtu hajawahi kumuona kwa sura, as long as wanachat na kuwa karibu,
any time unakuwa assured ya kitumbua....
men got to change...
Ukweli ni kile kinachosemwa kurandana na hali halisi
Do you even kow what "finding' is?
Nani kakuambia ukweli haujadiliwi
Just give me acces to them the i will tell you!
Ha!!!!Hali halisi ni nini? Na according to who, l mean nani ana authority ya kuiita hii ni HALISI.
Unaweza kuwa hujanielewakuhusu findings, wewe si umesema umefanya utafiti na kutokana na findings zako ndio umekuja na ukweli wako.
A grown up woman shoul know this unajua kwanini?Na kwanini maturity ya mtu unaipima kwa kukubaliana na ukweli wako. Pls kama hautajali, usinijibu kwa vipande unapoteza maana.
Sijui kama unajua maana ya halisi na kama ungekuwa unajua wala usingesema "halisi yangu" kwasababu hakuna kama hichoEiyer halisi yangu sio lazima iwe yako.
Hatufanyi au haufanyi?Halafu wewe unataka tukupe sababu za kufanya ambacho hatufanyi?
Inawezekana hujawahi kupata wa kukusifia inavyostahili hivyo ukawa hujakutana na hii kituSielewi hii maneno. Sikumbuki kumpa yoyote aliyenisifia, ninampa ninaye mpenda.
Hapa nimekuelewa vizuri sana maana wewe ni mwanamke ......!!I am grown up woman and l know kuwa ni wanawake wachache sana tena wasiojiamini ndio anaweza mpa mtu kwa kusifiwa tu.
Yani hizo sifa zinakuwajekuwaje bado sijaelewa! Yan from nowhere unakutana na mtu anakusifia umependeza afu baada ya hapo mnaenda kubanjuka ama??
Duh! Mkuu inaonekana una ka uzoefu ka hii makitu!
Munkari we ni mzuri sana mamy..nimependa tu ilivyo na brain sharp, ni mwanamke mwenye msimamo, muelewa, unajua unachotaka, nmekupenda bure mtoto mzuri..Yani hizo sifa zinakuwajekuwaje bado sijaelewa! Yan from nowhere unakutana na mtu anakusifia umependeza afu baada ya hapo mnaenda kubanjuka ama??
umejuaje???
Namuonaa....
mamii nimekumiss, mbona naona jina yako kwa herufi kubwa na ingine ndogo?
mchokozi sana wewe!! Ngoja aje akwambie no free p!!