kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,679
Na ndio maana nikasem kuwa na wewe unadhibitisha nilichokisema hapo juu hata kwako pia
Usidhani sijakuelewa,yaani hata wewe ukisifiwa una kamatika!
No thank you. Sikumaanisha hivyo
Na ndio maana nikasem kuwa na wewe unadhibitisha nilichokisema hapo juu hata kwako pia
Usidhani sijakuelewa,yaani hata wewe ukisifiwa una kamatika!
Nimependa avatar yako....only that
Kama nawe msifiaji unavigezo na masharti..basi unazingatiwa
Hahahahahha didn't notice you are here:sly:😛😛
Ed edd n eddy. Wow......I like that. Nimependa jina na avatar yako pia.
hainingii akilini..
yani haunivutii hata chembe, huna vigezo ambavyo natamani mwanaume wangu awe navyo.. but out of kunisifia nikupe??? wala tu jamani.
ingawa kiuhalisia kila binadamu anapenda kusifiwa, sifa zinazokaribiana na ukweli.
Hilo ni kosa alilolifanya
Haitakiwi ujue anachotaka
Na inaonekana huyo ni mtoto kwenye masuala haya
But, i understand you ....!!
Aaaaaaaaa wapi SIPIGWI FREE P HATA SIKU MOJA SABABU YA SIFA ZA KIJINGA!
Ukiona unambanjua mwanamke ni coz amefika bei kwako, na kardhika na viwango vyako wala sio sifa ulizotoa, ilikuwa kwenye plan tu ukitaka upewe!
Inategemeana na anaesifiwa, kuna watu wameanza kusufiwa tangu wadogo mpaka wamekua wameshazoea, wa ivi utamsifia mpaka kesho hutopata lolote.On the other hand wapo ambao kadri unavimsifia anachanganyikiwa kama vile uyo anaemsifia hajawai kuona wengine.
Shamba linalolimwa na mtoto na mtu mzima ni tofauti!
Kazi inayofanywa na anaeijua ni tofauti na asieijua!