ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
mamii nimekumiss, mbona naona jina yako kwa herufi kubwa na ingine ndogo?
kunani?
Always ipo capital latter mkuu
Miss u much my friend
mamii nimekumiss, mbona naona jina yako kwa herufi kubwa na ingine ndogo?
kunani?
Naona umefunga lugha mashuka, si useme tu unagegedwa.Mi mwenyewe sijui ila kusifiwa kuna nifanya nakuwa comfortable sasa ikitokea na anayetoa sifa ana vigezo vingine Mf. mrefu, intelligent& brave, humble, hardworking, self displine etc etc najikuta na fall in love!
Yeah the kid is overdoing it. Yaani hii ikifanywa kwa tactic aaaha kama ni mzinzi mzinzi unalamba tu.Hilo ni kosa alilolifanya
Haitakiwi ujue anachotaka
Na inaonekana huyo ni mtoto kwenye masuala haya
But, i understand you ....!!
Bado siamini macho yangu kuwa hata maparoko mmmmmhhhh au naona vibaya ngoja nifuate miwani nyumbani manake nipo internet cafe hapa.Maninaaaaaaa ...........
!
Nimethibitisha mimi nimeshuhudia kwa jamaa na rafiki zangu na nimesikia pia ikitokea
Ukiwa unamsifia mwanamke mara nyingi uwezavyo kwa sifa za kutosha na zenye mashiko basi unakuja "kumbanjua"
Kwanini lakini?
Inamaana mnapenda sana sifa au ni kitu gani?
Nimekosa jibu baada ya kujiuliza hili swali kwa miaka zaid ya 6 sasa
Mnaweza kunijibu hapa ili nikamilishe nilichokuwa nataka kujua?
Hebu jaribuni kunijibu ..!!
Naona umefunga lugha mashuka, si useme tu unagegedwa.
Nimethibitisha mimi nimeshuhudia kwa jamaa na rafiki zangu na nimesikia pia ikitokea
Ukiwa unamsifia mwanamke mara nyingi uwezavyo kwa sifa za kutosha na zenye mashiko basi unakuja "kumbanjua"
Kwanini lakini?
Inamaana mnapenda sana sifa au ni kitu gani?
Nimekosa jibu baada ya kujiuliza hili swali kwa miaka zaid ya 6 sasa
Mnaweza kunijibu hapa ili nikamilishe nilichokuwa nataka kujua?
Hebu jaribuni kunijibu ..!!
He...!!!!!!!!!
Asante kwa kukubaliana na nilichoandika hapo juu!
Nachomaanisha ni kwamba kwangu haina effect. Sifia mpaka uzeeke hupati kitu.
Ila naunga mkono mada kwasababu ni kweli wanawake wengi wana udhaifu huo. Wanapenda caring na kudekezwa sambamba na kusifiwa
Mimi najijua nilivyo. Kwahiyo hata mtu asifie miaka mia., naona kawaida tu. Maybe kwasababu nimeshasifiwa sana.