Shamba linalolimwa na mtoto na mtu mzima ni tofauti!
Sidhani ...................!!!!!!!!
Nimethibitisha mimi nimeshuhudia kwa jamaa na rafiki zangu na nimesikia pia ikitokea
Ukiwa unamsifia mwanamke mara nyingi uwezavyo kwa sifa za kutosha na zenye mashiko basi unakuja "kumbanjua"
Kwanini lakini?
Inamaana mnapenda sana sifa au ni kitu gani?
Nimekosa jibu baada ya kujiuliza hili swali kwa miaka zaid ya 6 sasa
Mnaweza kunijibu hapa ili nikamilishe nilichokuwa nataka kujua?
Hebu jaribuni kunijibu ..!!
Nikikusifia utanipa?
mchokozi sana wewe!! Ngoja aje akwambie no free p!!