antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 51,166
- 133,616
Mkuu, kama imani inamruhusu, siku akiweka ndani mwenzio mazima itakuwaje?Sijawahi kuhisi anasaliti nashukuru kwa kunificha maana siku nikijua nitafariki kwa mawazo😬
Mkuu, kama imani inamruhusu, siku akiweka ndani mwenzio mazima itakuwaje?Sijawahi kuhisi anasaliti nashukuru kwa kunificha maana siku nikijua nitafariki kwa mawazo😬
Haina shida anitimizie tu mahitaji yangu hii nishawahi mwambia uzinifu zitaki wewe ukiona uwezo unaruhusu ata saba oa ila mahitaji yangu lazima yatimizwe kuliko kuchepuka.Mkuu, kama imani inamruhusu, siku akiweka ndani mwenzio mazima itakuwaje?
Je yeye mnaendelea kupendana? Je tendo unampa? Yan unasamehe tu unaendelea kumuhudumia kama mume?Haya mambo hutakiwi ht kuyatia kichwan...jiweke 50/50 ...kwamba anaweza..lkn pia hawezi..
Sasa wewe jiaminishe mume wangu hachepuki na hatochepuka..siku likikuta jambo unaumia...
Ila ukijiweka katikati...ht stress hupati.. ilimradi nyumban anahudumia vzr....hakutesi...we usiwaze...
Sasa km ndo umegundua kakucheat...hakikisha anajua kwamba umejua ana cheat..kisha endelea na life yako na watoto wako...humo humo ndn...
Hamna kuondoka wala nn...[emoji1787][emoji1787]
We jifanye mjinga siku moja muulize mama yako je baba hajawahi kukucheat..usikie majibu yake....
Wanaume hawa waache hivi hivi ukifatilia utaumia mama ..life is short
natamani nikwambie kituJe yeye mnaendelea kupendana? Je tendo unampa? Yan unasamehe tu unaendelea kumuhudumia kama mume?
Sijawahi kushtukia kabisa itakuwa anafanya kwa nidhamu sana mambo yake,
huwa sifanyi kabisa, kama unavyoniamini ndivyo nilivyo hny.Sijawahi kushtukia kabisa itakuwa anafanya kwa nidhamu sana mambo yake,
Bora umewaambia ukweli....wazoee tuu kushare migegedo yetuMechi za nje hatuachi hata mlete uzi za chuma uku
Naomba kuwasilisha na mm[emoji144]
Kama uliolewa ukiwa bikra basi uko sahihi kuulizaSwali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza??
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?
Naomben kuwasilisha mada mezan
tulizana wewe, hakunaga mwenye mume wake. Eti mume wako, ulimzaa wewe? Hili aliskika akisema mrembo Jacklin Wolper.Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza??
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?
Naomben kuwasilisha mada mezan
tulizana wewe, hakunaga mwenye mume wake. Eti mume wako, ulimzaa wewe? Hili aliskika akisema mrembo Jacklin Wolper.Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza??
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?
Naomben kuwasilisha mada mezan
Sasa kumbe mnakuwa ana akili ila mnajidaigi machizi.Haya mambo hutakiwi ht kuyatia kichwan...jiweke 50/50 ...kwamba anaweza..lkn pia hawezi..
Sasa wewe jiaminishe mume wangu hachepuki na hatochepuka..siku likikuta jambo unaumia...
Ila ukijiweka katikati...ht stress hupati.. ilimradi nyumban anahudumia vzr....hakutesi...we usiwaze...
Sasa km ndo umegundua kakucheat...hakikisha anajua kwamba umejua ana cheat..kisha endelea na life yako na watoto wako...humo humo ndn...
Hamna kuondoka wala nn...[emoji1787][emoji1787]
We jifanye mjinga siku moja muulize mama yako je baba hajawahi kukucheat..usikie majibu yake....
Wanaume hawa waache hivi hivi ukifatilia utaumia mama ..life is short
Endelea hivyo hivyo amani ya nyumba ina thamani sanahuwa sifanyi kabisa, kama unavyoniamini ndivyo nilivyo hny.
Hofu ondoa kabisaEndelea hivyo hivyo amani ya nyumba ina thamani sana