Wanawake kuweni waaminifu

Wanawake kuweni waaminifu

hahahhaha kuna mtu 1 nae kashika dini kwelii nikajiweke siku ya game nikaondoka na gono alafu namwambia twende hosp. anasema nimelitoa kwingine wakati najua kabisa game ni kwake tu. muache limuozee.
Kwhy nahapa mjinga nani kama si wewe unamwaminije mtu hadi kwenda ngono zembe?
 
Usimwamini wala kumwambia unamuamini mwanamke hata kwa utani.

Akishaona umemuamini bila kufuatilia lolote, atafanya atakalo. Pia hata ukimfuatilia itakuwa stress tupu.
Basi usioe mkuu au tengeneza toy lako la plastic tu u enjoy life!
 
Sema nini mi mwanaume na sisi tumezidi sana na ndiyo maana kizazi hiki wanawake hawana uvumilivu wanatujibu tu kama mbwai na iwe mbwai WANAWAKE WENGI HUFANYA USALITI WAKIWA NA SABABU NA MOST REASON HUWA KISASI KUTOKANA NA MATENDO YETU WABABA


naomba uwe rafiki yangu Billie
 
Kwa hasira nimebidi nisisafiri na gari moja na hawa watu Leo. Naona kinyaa, nimewakabidhi dereva wafike salama Mimi wacha nienda na gari private.

hehehehati kinyaa !ukute na wife ulipoondooka alienda kutoa uchovu hukoooo !pole weee!tulieni iwaingie tu !maana chanzo ni nyie
 
Asante kwa ushauri wako nitaufikiria,
Japo sikutarajia status yako(stable woman) na ushauri wako.
Aah ni kuwa unaogopa kuoa kisa stori za watu! Kushindwa kwa mwingine hakuna maana kuwa na wewe utashindwa! Kila mtu na mapito yake

Ndio maana nimekushauri vile
 
Hapana. Mimi nimelala na make wangu two days mfululizo tukatombana vya kutosha ndio nikaenda Dodoma. Ujinga sitaki
Sasa kama we umeridhika na wa kwako mbona unapigia wenzako kelele, kumbuka kila mtu na nyendo zake, stress zake, upuzi wake

NB:Unapopambana Na Hali Yako Usitingishe Ya Mwenzio
 
Aah ni kuwa unaogopa kuoa kisa stori za watu! Kushindwa kwa mwingine hakuna maana kuwa na wewe utashindwa! Kila mtu na mapito yake

Ndio maana nimekushauri vile
Siwezi kuogopa kuoa kisa stori za watu, kuoa ni jambo jema sana na nina kiu nalo na nalisubiria kwa hamu kubwa.
Mapito ni njia yetu ya kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom