FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Upo wee dada...Huyo pumbavu ndie aliyekuzaa na kukulea hata ukapata akili yankumtukana leo.
Upo wee dada...Huyo pumbavu ndie aliyekuzaa na kukulea hata ukapata akili yankumtukana leo.
Nipo mpendwa,hujambo?Upo wee dada...
Bora mwanamme has nothing to loose ..sasa mwanamke x kutwa mzima anatetea mashine teheeee .Na wanaume ndio hawa wanaoingia jf na kubishania papuchi unategemea nini!!
Huwa inauma kwa wote tu mkuu,,,, usifikiri nyie pekee yenuPole mkuu !
Bora ukosee kujenga ila kwa mke kuchepuka na ukajua hua inauma sana
Akuuuu , Mama yangu nimama Wa enzi hizoooooo when women were still women , wanawake wanguvu ambao Wanaheshimika 100% .Huyo pumbavu ndie aliyekuzaa na kukulea hata ukapata akili yankumtukana leo.
watoa mimba ??? Mwanamke mmoja wanaume saba ??? Naunajiona sawa ???. MamayoyoooooooooWanaume wengi wa mkoa wangu walikuja na wake zao kabisa. Wanne hawajaja nao. Ila nimekodisha lodge ya wajumbe wangu. Sawa mabechelor Mungu awabariki nimekanao mpaka sasa very busy with their vision. Sawa washenzi ndio wameniudhi. Tena wenyeviti wa wilaya. Rabith sexers.huu ni uchochezi na muendelezo wa mfumo dume,it take two to TANGO,why upande wa pili huuelezei?wale wanaumme nao si wameoua au wana girl friends?uzuri wa hoja in vema ikawa ina side zote mbili za coin.
Ukiacha ni zamu yako. Masna shetani haishi oande moja ya coin. Ni pande zote. Tena wakwako apigwe na kichaa pumbavu zako.sasa hutaki waliwe...mi mwenyewe nishawasaidia sana jamaa zangu wake zao ila nimeacha yapata mwaka sasa maana hali ni mbaya wanakuja race kama upepo vile
Kuna tofauti kati ya uchepukaji wa mwanaume na mwanamke kwa afya ya ndoa husika !Wanaume wengi wanasaliti ndoa zao kuliko wanawake
Kuna tofauti ya mwanaume na mwanamke kwenye uchepukaji kwa ajili ya afya ya ndoa husika !Huwa inauma kwa wote tu mkuu,,,, usifikiri nyie pekee yenu
Ndio ndioAkuuuu , Mama yangu nimama Wa enzi hizoooooo when women were still women , wanawake wanguvu ambao Wanaheshimika 100% .
Ndo uje ulinganishe wasiku izi kwakisingizio cha mwanamke ndo alonizaa ??? Teheee pole !!!.wavaaa uchi ??? Wasokua nakitu cha kuoffer zaidi ya Pussy ???![]()
watoa mimba ??? Mwanamke mmoja wanaume saba ??? Naunajiona sawa ???. Mamayoyooooooooo
Mama yangu popote pale ulipo muda huuu nakupenda sana mama yangu nakupenda mnooo weee nimama unayejua maana ya mama.
Sijambo besty, usimind hivyo bhna acha tufunge mwaka vizuri.Nipo mpendwa,hujambo?
Kweli man ,nmeshangaaa anajisahaulisha Tabia za wanawake Waleo nawale wazaman ETI KWA MWAMVULI WA MWANAMKE NDO ALONIZAA.Ndio ndio
Waliotuzaa walikua wanawake bhana sio hili balaa la sasa hv eti na wao wanajiita wanawake....Kweli man ,nmeshangaaa anajisahaulisha Tabia za wanawake Waldo nawale wazaman ETI KWA MWAMVULI WA MWANAMKE NDO ALONIZAA.
ndio alinizaa ,,je analingana nahuyu alotoa mimba lukuki ??? Mvaa uchi ??.