linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Kuchepuka kunapunguza hasira na msongo wa mawazo pale mme anapojijengea nyumba ndogo.Ngoja waje na kauli yao ya wao ni wachache kuliko wanawake, hivyo ni haki yao kuchepuka
Kuchepuka kunapunguza hasira na msongo wa mawazo pale mme anapojijengea nyumba ndogo.Ngoja waje na kauli yao ya wao ni wachache kuliko wanawake, hivyo ni haki yao kuchepuka
Basi na wanawake wakijijengea nyumba kubwa wavumilie tuKuchepuka kunapunguza hasira na msongo wa mawazo pale mme anapojijengea nyumba ndogo.
hapo kwenye uhanit** sijakuelewa malizia hizo herufi mbiliUkisikia uhanit** ujue mwanamke amemwamini mwanaume.
Uhani..... thihapo kwenye uhanit** sijakuelewa malizia hizo herufi mbili
Ila wao wanataka sisi tucheke wanashangaza Sana cheating ni mbaya kwa wote tu inaumiza kujikuta wao ndo wanajua kuumia sanaMwanaume akichitiwa anachekesha sana ha ha ha atalia kwa uchuuungu utadhani kafiwa
Ni mke halali wa ndoa full vyeti,Ni mke wa ndoa, ni mchumba au mpenzi?
Ila umefanya kosa pia kumuweka mbali na wewe kisa masomo kwa sababu mwanamke kuruka mitego ya wanaume kama hana mlinzi karibu ni mtihani mkubwa sana.Ni mke halali wa ndoa full vyeti,
Ni kina nani wanaowala??? Muosha huoshwaaaa hahahaaaa pumbavu zao wanaowala.Mkuu unajua kuliwa??? Yaani wanaliwa kama ugali. Kumanina zao wanaume wanadanganywa mnoo. Pumbavu wanawake
Ukiona wanagawa sana ujue upande unaogawiwa nao umechachamaa..Aaahhhhh wanawake pumbavu sanaa aiseeee .
Alafu siku izo hao ndo wanaongoza kugawa ..sijui huuu mzimu umetokea wapi.
Kwa siku hizi mbili ya 09-11/12/2017, tupo Dodoma kwenye mkutano, kwenye kundi langu (la mkoa wangu) nipo na wanawake sita ambao ni wake za watu wote kumi wana ndoa za watu.
Nimeshtushwa kuwaona wamefika Dodoma na kuolewa hovyo tena na zaidi ya waume watatu kila mmoja. Wanaliwa kama ugali. Masikini ya Mungu nawaona wanawake wakilegezwa hovyo na vijana.
Ndani ya kundi langu nimechunguza wanaume wote kila mmoja alimuagiza mkewe aje na gari lingine ila ajitulize kwake. Na kila mmoja alinipa taarifa kuwa mke wangu anakuja so room zao ziwe na acomodation za kutosha.
Wanawake wale wanaliwa na watu wasiowajua. Yaani tukitoka kwenye mkutano wameshapatana na mtu so hata gari yetu hawapandi tena. Wanawake hawana tena hekima. Wanawake mna nini?
Haha wanawake wakiwezeshwa wanaweza tehMchitiwe tu tena mchitiwe sana, si mnasemaga role mode wenu Ibu!!!!
Heaven Sent
Nalendwa
Mje na chupa za wyne
Mchitiwe tu tena mchitiwe sana, si mnasemaga role mode wenu Ibu!!!!
Heaven Sent
Nalendwa
Mje na chupa za wyne