kula mzigo huo.Kuoa ni janga zama hizi!
Anasahau kuwa ni mambo ya kawaida tu hayo.Mwanaume akichitiwa anachekesha sana ha ha ha atalia kwa uchuuungu utadhani kafiwa
kuchitiwa ni kitu cha kawaida mno, ni aibu mwanaume kulia lia eti kagongewaAnasahau kuwa ni mambo ya kawaida tu hayo.
wanaume wamezoea wao kwenda nje ya ndoa then anakuletea mtoto umlee kwa lazima... Ulee matunda ya uzinzi wake... Sasa wakifanyiwa wao wanasema wanawake wabaya..... Vumilieni tuHuwa inauma kwa wote tu mkuu,,,, usifikiri nyie pekee yenu
Uuuuwiiii ungukuwa karibu ningekupa kinywaji dear...kuchitiwa ni kitu cha kawaida mno, ni aibu mwanaume kulia lia eti kagongewa
😀Uuuuwiiii ungukuwa karibu ningekupa kinywaji dear...
Kama sio mme wa mtu basi ni mpenzi wa mtu sasa kwa mke wa mtu unafata nini?wake za watu wamekuwa waajabu sana, wanagawa kama njugu na hutumii mda mrefu kumsaundisha
Si ndio hapo sasa!! Wanalia lia nini wakati mambo ya kawaida sana hayo. Unakubaliana nayo tu maisha yanasonga.kuchitiwa ni kitu cha kawaida mno, ni aibu mwanaume kulia lia eti kagongewa
Nipo Lindi...😀
Uko wapi kwani mi nikiijie
Du amakweliKwa siku hizi mbili ya 09-11/12/2017, tupo Dodoma kwenye mkutano, kwenye kundi langu (la mkoa wangu) nipo na wanawake sita ambao ni wake za watu wote kumi wana ndoa za watu.
Nimeshtushwa kuwaona wamefika Dodoma na kuolewa hovyo tena na zaidi ya waume watatu kila mmoja. Wanaliwa kama ugali. Masikini ya Mungu nawaona wanawake wakilegezwa hovyo na vijana.
Ndani ya kundi langu nimechunguza wanaume wote kila mmoja alimuagiza mkewe aje na gari lingine ila ajitulize kwake. Na kila mmoja alinipa taarifa kuwa mke wangu anakuja so room zao ziwe na acomodation za kutosha.
Wanawake wale wanaliwa na watu wasiowajua. Yaani tukitoka kwenye mkutano wameshapatana na mtu so hata gari yetu hawapandi tena. Wanawake hawana tena hekima. Wanawake mna nini?
KudadekkkiiiiHiki kizazi kina laana si bure,binafsi hapa nilipo naugulia maumivu makali ya mke wangu.Mbaya zaidi ye anajifanya swala tano kumanina zake

Hahahaha mkuu wamekukera sana ila wanawake hawafai asilaniMkuu unajua kuliwa??? Yaani wanaliwa kama ugali. Kumanina zao wanaume wanadanganywa mnoo. Pumbavu wanawake
Bora tu mi so MunguHahahaha mkuu wamekukera sana ila wanawake hawafai asilani