Wanawake kuweni waaminifu

Wanawake kuweni waaminifu

Ukitaka kuichukia dunia anza kufuatilia mambo ya wanawake % kubwa ni hovyo sio wake za watu sio single mama sio wanafunzi yaani akiwa mwanamke kwisha akili
Acha kutukana wanawake ovyo,kwani mama yako sio mwanamke?ukikosewa na mmoja haina maana uingize wote,Tunaakili tunajielewa sana,Tafuta chanzo uone kama hujajipiga makofi,Asilimi 99 wanaume ndio usababisha wanawake kubadilika,hasa katika mahusiano
 
Mimi nitakula wake za watu maana sasa hivi wamenivunjia ndoa yangu na sasa wanawake wakae tayari hiki kikombe lazima tukinywe wote... Pumbavu zao wanawake wajinga wajinga.
 
swali langu ni moja tu hawa wanawake ni shoga kwa hiyo wanasagana?,kama sio shoga wanaenda kujamiana na wanaume iweje uwalaumu wao tu,au shida yao ni kukubalia?,je mkinyimwa mutajisikiaje isitoshe munawaanza wenyewe ngoja mpewe.
 
swali langu ni moja tu hawa wanawake ni shoga kwa hiyo wanasagana?,kama sio shoga wanaenda kujamiana na wanaume iweje uwalaumu wao tu,au shida yao ni kukubalia?,je mkinyimwa mutajisikiaje isitoshe munawaanza wenyewe ngoja mpewe.
Kama ingekuwa singles sins tatizo. Wake wa ndoa. Ushetani huo tu. One woman no more.
 
Mkuu umesahau na mbio za mwenge pale unapo lalia ni laana tupu jumlisha na vigodoro ndio usiseme
 
Mkuu ye yupo kozi sehemu flani,kozi ambayo itamchukuwa miezi minne.Sasa nikaanza kuona mabadiliko ya zarau nyingi.niliamua kumfuatilia kupitia simu yake,nilichokutana nacho Mungu mwenyewe ndiyo anajuwa.Namsubiri amalize tu.
Nadhani shemeji yetu ni mmoja ya watumishi wa majeshi yetu mkuu poleeee ile vp wwe huna makando kando
 
wanaume wamezoea wao kwenda nje ya ndoa then anakuletea mtoto umlee kwa lazima... Ulee matunda ya uzinzi wake... Sasa wakifanyiwa wao wanasema wanawake wabaya..... Vumilieni tu
Ngoja waje na kauli yao ya wao ni wachache kuliko wanawake, hivyo ni haki yao kuchepuka
 
Back
Top Bottom