Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Sindo namm nmeshangaaa ...Walotazaaa walikua wanawake kweli ...nahiki kizazi kinapotea ,, tunajikuta tunabaki nawalewale Wa Kuoana wao kwa wao ,, nahawa wanaoamin Mwanamme mashine na wanaoamin mwanamme kibamia ndo tumebaki nao mkuuu.Waliotuzaa walikua wanawake bhana sio hili balaa la sasa hv eti na wao wanajiita wanawake....
watoa mimba ??? Mwanamke mmoja wanaume saba ??? Naunajiona sawa ???. Mamayoyooooooooo


