Wanawake kuweni waaminifu

Wanawake kuweni waaminifu

Waliotuzaa walikua wanawake bhana sio hili balaa la sasa hv eti na wao wanajiita wanawake....
Sindo namm nmeshangaaa ...Walotazaaa walikua wanawake kweli ...nahiki kizazi kinapotea ,, tunajikuta tunabaki nawalewale Wa Kuoana wao kwa wao ,, nahawa wanaoamin Mwanamme mashine na wanaoamin mwanamme kibamia ndo tumebaki nao mkuuu.
 
wake za watu wamekuwa waajabu sana, wanagawa kama njugu na hutumii mda mrefu kumsaundisha
 
Tabia haina dawa, na mpaka mwanaume ukatongoze mke wa mwanaume mwenzio sijui wawaza nini. Uaminifu watakiwa kwa wote, si kwa mwanaume wala mwanamke.... Uaminifu ni muhimu!!!!!
 
Akuuuu , Mama yangu nimama Wa enzi hizoooooo when women were still women , wanawake wanguvu ambao Wanaheshimika 100% .

Ndo uje ulinganishe wasiku izi kwakisingizio cha mwanamke ndo alonizaa ??? Teheee pole !!!.wavaaa uchi ??? Wasokua nakitu cha kuoffer zaidi ya Pussy ??? watoa mimba ??? Mwanamke mmoja wanaume saba ??? Naunajiona sawa ???. Mamayoyooooooooo


Mama yangu popote pale ulipo muda huuu nakupenda sana mama yangu nakupenda mnooo weee nimama unayejua maana ya mama.
Ooooh kumbe inauma eeeh!!
Basi uwe na adabu kwa mama za wenzio pia we mtoto.
 
Sindo namm nmeshangaaa ...Walotazaaa walikua wanawake kweli ...nahiki kizazi kinapotea ,, tunajikuta tunabaki nawalewale Wa Kuoana wao kwa wao ,, nahawa wanaoamin Mwanamme mashine na wanaoamin mwanamme kibamia ndo tumebaki nao mkuuu.
Kwani nawe ni kizazi cha akina mama yako au uko kwenye kizazi cha akina kaoge pia?
 
Ooooh kumbe inauma eeeh!!
Basi uwe na adabu kwa mama za wenzio pia we mtoto.
Hahaaaaaa umeandika kwa unyonge sana ,,, ila watoto wenu wanabonge lakazi sana aiseeee ...Mama unaakili ,unaweka picha yako yautupu mtamdaon eti kisa unazaa ???.

Astakafriaghhhh looooo...huyo mama wamtu naye nmheshimu ???
Mama unakua naakili ,kisa nisingo maza kila siku wanaume unabadili ???


Cheeeee nitakua wamwisho kukuheshimu mama wamtu.
 
Kwani nawe ni kizazi cha akina mama yako au uko kwenye kizazi cha akina kaoge pia?
Hahahahahahaha ngoja niache Ku argue with you ....mama unajichubua mwili mzm ,,, dadek

Mama wanaume umewapanga folen kama Unakata Risit za mwendokasi ???.
Mama unatoa mimba ,,mama unatupa kichanga

Nitakua Wa mwisho kukuheshimu mama
 
Uzi umejaa matusi ya ovyoovyo tu..... Sisi tutaamini vipi kama kweli usemalo lipo fanya kuthibitisha huu udaku wako labda tukuamini
Wakinyimwa papa ndiyo wanatangaza vibaya na kutoa maneno ambayo sio ya kweli....
 
Hiki kizazi kina laana si bure,binafsi hapa nilipo naugulia maumivu makali ya mke wangu.Mbaya zaidi ye anajifanya swala tano kumanina zake
Mm ndiyo namla mkeo mpaka amalize " course " nitakuwa nimefaidi mengi sana.....
 
Back
Top Bottom