Wanawake kuweni waaminifu

Wanawake kuweni waaminifu

mkuu upo kwenye mkutano wa jumuiya ya wazazi ccm?
 
Kwhy nahapa mjinga nani kama si wewe unamwaminije mtu hadi kwenda ngono zembe?
ko ww mmeo hakuamini, sasa kuna maana gani ya kuwa na mpz ili hali humuamini. si bora ukanunue malaya tu.

nilimuamini sababu ni mshika dini, mpole kumbe haikua hivyo.
 
Wakaka mngekuwa mnapigania Uaminifu kwa upande wenu pia kwa kiasi hiki?!, Ingependeza zaidi.
 
Tatizo binadamu anataka ajimilikishe binadamu mwenzie 100%
Katika uasilia ni ngumu sana

Nadhani ni taratibu tu za ubinafsi zinazotuaminisha kwamba mtu ni mali yako na hana nafasi ya kujilia vya pembeni..
 
Back
Top Bottom