Wanawake kuchanganyika na wanaume Kanisani

Wanajaribu kale kamsema kanachosema mume/mke bora hupatikana kwenye nyumba za ibada... Ndiyo maana wana test zali...
 
Hujui kuwa wapo mabasha wengi wanawapiga jicho wanaume wenye makalio makubwa na kuwatamani kisha kuwafanya mashoga?

Walijua hilo?
Sasa hilo haijalishi sehemu popote pale kozi ni hulka ya MTU so iwe msikitini au kanisani kozi pote hapo kuna jinsia hiyo..but Mimi nimegenelaiz kwa Mwanaume rijali ambaye Yuko sawa kwenye ibada ya muda mrefu si vyema kuchanyana na sio kwa wakristo hata waislam hua ipo BT wanaume wanakua mbele wanawake nyuma ila hiyo moja moja asee NO sio
 
Sasa hilo haijalishi sehemu popote pale kozi ni hulka ya MTU so iwe msikitini au kanisani kozi pote hapo kuna jinsia hiyo..but Mimi nimegenelaiz kwa Mwanaume rijali ambaye Yuko sawa kwenye ibada ya muda mrefu si vyema kuchanyana na sio kwa wakristo hata waislam hua ipo BT wanaume wanakua mbele wanawake nyuma ila hiyo moja moja asee NO sio
Point yangu ni kwamba suala la kutamani, halitokei tu pale mwanaume anapomwona mwanamke anayesali naye (ikiwa amevaa hovyo)

Hilo linatokea popote kama ulivyosema

Lakini pia inatokea kwa Mwanaume basha kumtamani mwanaume mwenzie (hasa aliyefungasha nyuma) pale anapombinulia makalio na wakiwa zero distance.

Umenielewa?
 
Ni kweli Kanisa ndugu na ndio ndugu zetu waislam wanaamua hakuna kuonana kabisa!Sembuse kukaa pamoja tena kwa kubanana!Hata huyo padre umpelekee mwanamke achilia mbali kulala pamoja hata walale nyumba moja vyumba tofauti anaweza kunyata usiku.
 
Ni kweli Kanisa ndugu na ndio ndugu zetu waislam wanaamua hakuna kuonana kabisa!Sembuse kukaa pamoja tena kwa kubanana!Hata huyo padre umpelekee mwanamke achilia mbali kulala pamoja hata walale nyumba moja vyumba tofauti anaweza kunyata usiku.
Hilo la kusema weye ni ndugu na waislam umelitoa wapi wakati wao wanawatambua "Waislam wenzao tu" ndio ndugu zao?

Wewe acha kujipendekeza.
 
Ya kutenganisha ukaaji kanisa katoliki umeanza lini?
Hapo sasa..sijawahi ona kibao kimeandikwa..wanaume...huku wanawake....
kwanza mnatakiwa mkae kifamilia sio kijinsia ...
Ingekua hivyo wangeweka ukuta kati kati au vibao..
 
Ndivyo Quran inavyotaka au ni mfumo tu wa kiutamaduni? Itakuwaje sasa peponi ukikutana na wanawake? Utaikimbia hiyo pepo?

Vv
hali uiyo sio ajali ni mfumo maalum utokanayo na mafundisho ya bwana mtume(peace be upon him) kuhusu maisha ya muislam na kuhusu peponi pia kuna utaratibu wa kuishi na wanawake wazuri wa peponi kila mtu atatengewa share yake ya kumtosheleza ....kila ktu kpo arranged mkuu karibu
 
Mimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.

Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.

Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?

Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?

Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Mbona wanawake tunaishi ano nyumba moja, tunakaa ofisi moja, usafiri nk. Ukiona unaharibikiwa kanisani ujue wewe ni mizizi usiyejijua ukaungame
 
hali uiyo sio ajali ni mfumo maalum utokanayo na mafundisho ya bwana mtume(peace be upon him) kuhusu maisha ya muislam na kuhusu peponi pia kuna utaratibu wa kuishi na wanawake wazuri wa peponi kila mtu atatengewa share yake ya kumtosheleza ....kila ktu kpo arranged mkuu karibu
Kuhusu maisha ya peponi mna ushahidi timilifu usiokinzana? Nasikiaga kuna wanawake mabikira wana macho kama kikombe ni kweli?
 
Duu hivi kabisa katolic kote ulimwenguni au Tanzania wametenga sehemu ya wanaume na wanawake naomba kujua maana mie sijawai kujua hivyo nammi ni mkatolic pure ninachokijua au navyoona ni mazoea tu kwamba utakuta wanawake wapo wengi upande mmoja na wanaume wapo Hivyo na sithan kama ni sheria imewekwa maana si Tanzania tu nimesali na nchi zingine wanasali kwa kuchanganyika wewe kabisa hilo ni lipi lililotenga uo utaratibu
 
Sheria ipi ya kanisa inasema wanawake wakae kwao na wanaume wakae kwao? Hayo ni mazoea tu watu wamejijengea kanisa halitengashi watu hivyo
 
Kuhusu maisha ya peponi mna ushahidi timilifu usiokinzana? Nasikiaga kuna wanawake mabikira wana macho kama kikombe ni kweli?
ni kweli wapo mtoto jicho kama kikombe inshort ni wazuri wasiomithilika na ni makundi kwa makundi wanafahamika kama nur'ain (i stand to be corrected) na wapo kwa ajili ya kuwastarehesha Au kustarehe pamoja na wale waliojikurubisha kwa mola wao na kufumbia macho starehe za dunia
Mizgo itakua namna hyo
 
Back
Top Bottom