Sawa.......tutahama jumapili ijayo.......
Katika Kanisa HAKUNA upande wa wanawake wala upande wa wanaume.Mimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.
Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.
Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?
Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?
Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Naomba nikupinge lakini pia unaruhusiwa kunisahihisha kwa facts! Kwa miaka zaidi ya 30 sijaona kanisa lolote la katoliki lililotenga sehemu ya wanaume na wanawake, sijawahi ona hili jambo sehemu zote nilizoenda labda huko kwenu sijui ni Kolomije au wapi? Wewe mwenyewe unajua!Mimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.
Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.
Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?
Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?
Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Inategemeana na mavaz... Kama amevaa vizuri Fresh tu ibada inaendleaMimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.
Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.
Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?
Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?
Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Labda tuu nikusahihishe. Kanisani hakuna upande wa wanawake wala wanaume. Ila ni mazoea fulani yaliyo jijenga. Kaninisani hakuna limitation mahala pa kukanyaga. Hata ww unawwza simama hata madhabahuni. Kama ww ni msomaji wa biblia rejea pale mahali ambapo pazilia lilipasuka katikati likatenganisha patakatifu pa patakatifu na sehemu nyingine ya waumini
My take
Binafsi nakuona hupendi kukaa na akina mama. For ur reasons. Huenda una mihemko or whatever.
Nawasilisha.
imenibidi nicheke kwanza aiseee...
ngoja waje hao wanaojipachika tujue ni nini tatizoo
Mimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.
Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.
Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?
Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?
Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Nani kasema kuna upande wa jinsia flani?Kaa upande wa jinsia yako acha kujichanganya ovyo.