Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,794
Hilo limewasaidiaje waislam?kua uyaone mkuu ni bora waislam waliyaona hayo mapema ya kuharibiana concetration wakaona kila jinsia ikae chumba chake washee mike tu
Hilo limewasaidiaje waislam?kua uyaone mkuu ni bora waislam waliyaona hayo mapema ya kuharibiana concetration wakaona kila jinsia ikae chumba chake washee mike tu
Kwanini mgusane, ulienda kugusana naye au kusikiliza ujumbe wa neno la Mungu?Hakuna kitu kama hicho!Chombo cha Kitusi mnagusana hapo kuna ibada tena?
Kati yao na wewe ni yupi mwenye mapepo?Ni nadra sana!Ila akina dada hata aone nafasi upande wao lazima aje kwa wanaume.Na nimewakariri ni wale wale siku zote wanapenda kukaa na wanaume.Sijui hawapendi wanawake wenzao!au sijui wana mapepo gani!
Swali la msingi sana.Ya kutenganisha ukaaji kanisa katoliki umeanza lini?
Fact 1: wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani wanatakiwa watengewe 3/4 ya kanisaMimi ni muumini wa Kanisa la Roman Catholic.
Utaratibu wa Kanisa umetenga upande wa wanaume na upande wa wanawake.Kinachonikera ni pale unakuta wanawake wanaingia kanisani na wanakuta upande wa akina mama nafasi zipo lakini baadhi yao hawapendi kukaa upande waliopangiwa wanaamua kujichomeka kati kati ya wanaume kitu ambacho mwanaume huwezi kwenda kukaa upande wao.
Najiuliza hivi huu ujasiri wanautoa wapi?Tena si wamama watu wazima ila ni mabinti.Huku si kuharibiana usikivu wa ibada?
Unaanza kuwaza mengine wakati uko kwenye ibada!Au hua mnatumwa na shetani?
Kama viongozi wa Kanisa mpo hebu jaribuni kulikemea hili,hasa Kanisa kuu Kigoma mabinti wanapenda sana kujipachika kati kati ya wanaume hata kama upande wao kuna nafasi.
Weka na zile habari za wanaolawiti watoto wa madrassaKwanza hao wanawake wanajifunika vichwa kama biblia inavyosema?
1 Wakorintho 11
5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kama hawafuniki vichwa na mpo nao makanisani anzeni kwa kuwakata nywele kama biblia inavyosema. Tutajuwa kweli mnaifata biblia, bila hivyo ni kudanganyana tu, na nyote, wanawake kwa wanaume makanisani mnafata matamanio yenu tu.
Wacheni kujidanganya.
![]()
Padri wa Kanisa Katoliki Anaswa Kichakani Ndani Ya Gari Akiwa Na Mrembo UCHI
Chanzo: http://sw.makuruki.rw/spip.php?article217
Endelea mpaka ufike upande wa pili ndo story itabalance
Endelea mpaka ufike upande wa pili ndo story itabalance