Wanawake hawapendi cost sharing?

Huyo hakupendi akupendae kwa dhati siku moja moja lazima na yeye ajitolee hata kama ni kidogo

anampenda sana ndo mana HATAK AMWACHE AENDE MOTON kwa kutowajibika kulipa bili zote km maandiko yanavyosema..MWANAUME NI KICHWA....na amtunze mkewe.
 
Nimeamka salama kabisa Ndugu yangu, Vipi bado unaendesha? Nasikia jana ulichukua contrakti ya kuendesha trekta.... Karibu tena

Bili najilipia nikiwa peke yangu, nikiwa na wewe tafadhali ni majukumu yako, sipendi kukudhalilisha...


Maty, kule huyu BB analalamika wanawake wake 100+ wametoa mimba zake, huku anataka cost sharing, labda wamemuona bahili ndio maana wanachoropoa mimba zake

Hizi tuhuma nimezisikia watu wabaya dah, nipo mzima wa afya sasa weekend hii nilikuwa na plan kutoka halafu wewe ndio unilipie kila kitu sasa itakuwaje???
 
Kuna jamaa yangu ikifika wakati wa kulipa anaanza kuimba ''Nilipie mpenzi, mpenzi nilipie wife anajibu nakulipia honey'' baada ya hapo inalipwa mambo yanaisha.
 
eva alitofautiana nao kidogo kwa kushare lile tunda na adam ingawa ndio iliyokuja kutucost kizazi chote mpaka kesho.

una maanisha kuwa tujivunze kwa adam na eva, adam alipokubali kushare kutoka kwa eva,......disaster. Unaweza ukale vyenye influence ovu?
 
Saa nyingine wababa wakilipiwa wanasahau majukumu yao ndio maana unakuta mama anaona abane tu mimi huwa ninalipa nikiona kweli mpenzi amebanwa huwa najitahidi kushare baadhi ya cost lakini nikiona ndio umefanya mazoea na kujisahau nakukimbizaje? naacha kabisa kutoa changu mfukoni so wamama kuna kipindi labda cha mwisho wa mwaka kuna sikukuuu, kodi za nyumba, ada za watoto bili na mahitaji mengine muhimu sidhani kama unakipato kinachoridhisha halafu majukumu yote wamuachia baba, anaenda hadi kukopa we umeuchuna tu kweli utakua humpendi.
 
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.

Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc


Baada ya Hawa/Eva kumshawishi Adam wale tunda Mungu alisema Mwanamke atazaa kwa "uchungu" na Mwanaume atatafuta kwa jasho lake. Kwahiyo mchezo ulishaisha zamani ndio maana tunachotafuta kwa jasho letu lazima hawa tunaowazalisha kwa uchungu wakifaidi.
 
Na kwa taarifa yenu, mkipenda sana kushare cost na wanawake manajiondolea ile title ya kuwa kichwa cha nyumba ambayo inaendana na kujiondolea respect kama mume, usitegemee mke akuthamini na kukuheshimu huku unamtaka awe 50-50 kwenye maswala ya cost.
 
Baada ya Hawa/Eva kumshawishi Adam wale tunda Mungu alisema Mwanamke atazaa kwa "uchungu" na Mwanaume atatafuta kwa jasho lake. Kwahiyo mchezo ulishaisha zamani ndio maana tunachotafuta kwa jasho letu lazima hawa tunaowazalisha kwa uchungu wakifaidi.

Ndivyo ilivyoandikwa, msitegemee tuzae kwa uchungu na bado nyie tuwasaidie kutoka jasho ili tule waote, kila mtu na abebe jukumu alilopewa na muumba.
 
Kuna wanaume year inn, year out hata kuwapamper wake zao kwa njia yoyote hawajui, na bado wana expect kulipiwa bills na hao hao wake zao, what for? ndo maana siku hizi ndoa zinavunjika , some men are so irresponsible. wana expect ulaini laini tu, hadi kodi za nyumba wanataka walipiwe, realy where will your pride as a man come from?
 
Usiwe na hasira, tunafuata sheria za Mungu.... Tutakula kwa jasho....

Jasho langu nakula mwenyewe, Jasho lako tunashea.... Mbona wewe huzai kwa uchungu???

Bora Adamu na Hawa wangekuwa wachina, wangemla yule nyoka aliyekuwa anawadanganya wale tunda.
 
Na kwa taarifa yenu, mkipenda sana kushare cost na wanawake manajiondolea ile title ya kuwa kichwa cha nyumba ambayo inaendana na kujiondolea respect kama mume, usitegemee mke akuthamini na kukuheshimu huku unamtaka awe 50-50 kwenye maswala ya cost.

baelezee!!!!!!
 
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.

Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc

Fikra tegemezi, but si wote wenye tabia hizo ...wapo walioelimika na wanaonesha ushirikiano kwa kila jambo.
 
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.

Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc

Hata mimi sipendi kabisa cost sharing, kwani baba si ndio kichwa cha nyumba jamani, naweza kushare ila isiwe kwa lazima, kwani baba anaweza kubeba mimba na kuzaa, atoe tu bwana ndio Mungu anavyopenda, mimi nitaziba vimapengo vidogovidogo tu
 
Hivi kwanini mademu hata akiwa mke wako bila kujali kipato chake kikoje mnapokuwa either mmetoka au kuna shughuli yoyote mnafanya inayohusisha mambo ya malipo wao wanakaaga pembeni kabisa kwenye malipo. Hata mkienda disco wewe ndo ulipe kiingilio.

Ni kitu wazi tuache ubishi we angalia bar, restaurant, shopping za nyumbani, ada za watoto etc etc

Kua uyaone! hayo ni mambo ya kawaida! ndo matunda ya mfume dume huo!
 
Mwanaume ndiyo kichwa Blue Balaa,Kulipa Bill zote za Maisha ndiyo kiume and its biblical!
Primarily kazi ya mwanamke tangu kuwekwa kwa misingi ya Ulimwengu ni Kuzaa tu,sio kuzalisha mali!
In my opinion,mwanamke akiamua kulipa bill yeyote hata nyumbani ni HISANI!!
Yeye kazi yake kumliwadha Mume na kulea watoto;Whereas kazi yako ww ni KUMPENDA(Including kulipia bill zake zote na za watoto kutoka ktk tumbo lake)

Hapa Issue sio usawa,hakuna Usawa kati ya Mwanaume na Mwanamke,Mungu mwenyewe katika Hekima zake alitutofautisha na alikuwa na kusudi! He created Potential Difference(P.D) btn a man and a woman ili waweze kuhusiana!
Sehemu ambayo hakuna P.D uhusiano hufa kuanzia!!

Imeandikwa "nanyi wake WATIINI waume zenu km kumtii kristu",nanyi Waume WAPENDENI wake zenu...."
Kwa mantiki nyepesi tu Mamlaka ndogo hutii kwa Mamlaka Kuu,Mke(mamlaka ndogo) hutii kwa mamlaka kubwa(Mume).
Lakini km ilivyokuwa restrictive,Utii huo ni "km kumtii kristu" yaani katika yaliyo Mema!
Sio wewe unataka kula ndogo halafu unataka hakutii!

Mwanamke ambaye hutaka kujiinua juu ya Mwanamke sio tu anadosari katika Ubongo wake lakini anastahili Maombezi!!
Wanawake wapumbavu huzivunja Nyumba zao kwa mikono yao wenyewe-Biblia

So i call upon all fellow men to enjoy and derive pleasure paying their wives bills mpaka mwisho wa "maisha" hapa duniani!!

Mwe Edson wewe sijui nikupe nini, umenifurahisha sana
 
Back
Top Bottom