Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,275
Asa hayo yote ya nini? Hela ninazo shida ipo wapi? Muambie aache ushamba. Atumie hela, hela inamaliza kila kituMkuu ukiingia kweny mahusiano usiongee sana kua mpenzi mtazamaji sana pale unapotakiwa kuongea ongea na sio sana usizidishe. . Pia jitahid uwe unapendeza na unyunyu uwe wa kutosha hapo utakula hadi wasiolika...pia punguza ubahili aiseh
Tutajuaje kama ni mkali?!Utakuwa na jinni MAHABA WEWe Mimi Sina huo mshahara nafanya kazi nalipwa buku tano kwa siku na nna demu mkali sometimes nawakimbia coz ya financial status wako kibao SI LAZIMA uwe na hela inaonekana unajiskia Sana na uto tuela twako,au SIO mzuri kwenye kuwakaza vizuri,piga MASHINE acha utoto
Ndio safi,ke atakayemsogelea ndio ale nae hizo ela.Hata kama una hela ila kama unavaa surual za vitambaa plus raba kubwaaa na mashat kama gift papers hakuna ke atakusogelea. Jikague tena na tena.
ππππHapo nimemwambia atumie oil auAsa hayo yote ya nini? Hela ninazo shida ipo wapi? Muambie aache ushamba. Atumie hela, hela inamaliza kila kitu
Suruali Moja tunaingia me na ww...... Suruali utadhani gunia la mashineni....πππIla we dada wwHata kama una hela ila kama unavaa surual za vitambaa plus raba kubwaaa na mashat kama gift papers hakuna ke atakusogelea. Jikague tena na tena.
Mkuu hilo fuvu lililotobolewa na msumari ni kuhusu nini? Ni nani?Swagga za kishamba ndiyo zipi hizo?
Mwizukulu wewe ndo Melo au?Mkono mtupi haulambwi ....wewe wape hela...nasema hivi wape hela mambo yatanyooka kama rula
Watu mnauza roho zenu duh! Mnaweka rehani maisha yenu? Hivi sehemu za siri unampaje mtu uhuru wa kuzisogezea domo lake?Tumuunganishe Kwa Stive Nyerere ampe totoz moja la Bongo movie akili imkae vizuri, hajawahi kunyonywa koni huyu akili bado zimeganda.
Vijana mnateswa na mapenzi wakati wengine wanazidi kula kimasiharaHabari za humu wadau,
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.
Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.
Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.
Nawasilisha.
Bhakema hela doho bhabhaaππMkono mtupi haulambwi ....wewe wape hela...nasema hivi wape hela mambo yatanyooka kama rula
Shida ni kwanini MPAKA LEO KUNA WATU WASHAMBA KAMA WEWE NA DUNIA NI KIJIJI?NACHUKIA SANA VILAZAMbona unaongea kwa hasira sana mkuu? Nini shida?
Wewe ni sehemu ya watu washamba tuliowaongelea humu, watu wanapiga deki wewe unashangaa kunyonywa mic?Watu mnauza roho zenu duh! Mnaweka rehani maisha yenu? Hivi sehemu za siri unampaje mtu uhuru wa kuzisogezea domo lake?
Washamba kama huyu Mnyiramba wakioneshwa Jiji nao ujifanya wajuwaji.Suruali Moja tunaingia me na ww...... Suruali utadhani gunia la mashineni....πππIla we dada ww
π€£π€£π€£Suruali Moja tunaingia me na ww...... Suruali utadhani gunia la mashineni....πππIla we dada ww
ππ Wadada tunapenda hela asa mbona mwenzako bila bila?Ndio safi,ke atakayemsogelea ndio ale nae hizo ela.
Hayo yote ya nini? Wastage of timeMbona wanawake hawana shida.... ongea nao vizuri, make them laugh kidogo tu, wasifie kidogo! Maisha mbona simple sana.
JamaniChunguza usafi wa mwili na kinywa
Kweli au unachangamsha genge?Hauko mwenyew mkuu...tuko wengi..mwenyew hata zile kazi mbovu zinanikazia ....sas hiv si kipaumbele changu tena namind bizz zangu
Wewe upo tofauti na mtoa mada.
Wewe huna hela, wala gari. Mwonekano mzuri hapo sijui.
So wewe unapigwa deki?Wewe ni sehemu ya watu washamba tuliowaongelea humu, watu wanapiga deki wewe unashangaa kunyonywa mic?