Wanawake hawanipendi

Mkuu ukiingia kweny mahusiano usiongee sana kua mpenzi mtazamaji sana pale unapotakiwa kuongea ongea na sio sana usizidishe. . Pia jitahid uwe unapendeza na unyunyu uwe wa kutosha hapo utakula hadi wasiolika...pia punguza ubahili aiseh
Asa hayo yote ya nini? Hela ninazo shida ipo wapi? Muambie aache ushamba. Atumie hela, hela inamaliza kila kitu
 
Tutajuaje kama ni mkali?!
 
Hata kama una hela ila kama unavaa surual za vitambaa plus raba kubwaaa na mashat kama gift papers hakuna ke atakusogelea. Jikague tena na tena.
Suruali Moja tunaingia me na ww...... Suruali utadhani gunia la mashineni....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila we dada ww
 
Tumuunganishe Kwa Stive Nyerere ampe totoz moja la Bongo movie akili imkae vizuri, hajawahi kunyonywa koni huyu akili bado zimeganda.
Watu mnauza roho zenu duh! Mnaweka rehani maisha yenu? Hivi sehemu za siri unampaje mtu uhuru wa kuzisogezea domo lake?
 
Vijana mnateswa na mapenzi wakati wengine wanazidi kula kimasihara
 
Suruali Moja tunaingia me na ww...... Suruali utadhani gunia la mashineni....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila we dada ww
Washamba kama huyu Mnyiramba wakioneshwa Jiji nao ujifanya wajuwaji.
 

Attachments

  • FB_IMG_1662065452879.jpg
    50.1 KB · Views: 18
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…