Ndo maana ni kazi sana kwa mwanamke.kumwambia mwanamme pafomansi yake ni pua. Huwa inawala sana, na wengine things will never be the same. Bora kuuchuna? Sijui
Tusi lolote, mara nyingi huelezea yale mtu asoweza kusema akiwa hana hasira. Mshkaji wako atafute suluhu ya nait fudi, vinginevyo Mzee atatafutwa soon(may be hata washaanza kuwasiliana)
Napingana na wewe mtoa hoja kuwa uanaume ji kujenga, kulipa ada, kununua gari na kuzalisha. Uanamme ni pamoja na kutimiza majukumu yako yote unayotegemewa kuyatimiza na yako ndani ya uwezo wako.
Fikiria kwa mtindo huu, wanamme ambao hawajajenga, hawana magari, hawana watoto, si wanamme kamili? Sidhani.
Na unaweza kukuta familia zao zimeridhika nao.
BTW, leo niko hapa leaders club, muda wa lunch nitakuwa nakodoa kuona wanamme watakaoingia wawili, na yule atakayekuwa mnyonge ndo ntajua ni mshkaji wako.