Wanawake hapa huwa mnatukosea sana

Wanawake hapa huwa mnatukosea sana

.........BTW, leo niko hapa leaders club, muda wa lunch nitakuwa nakodoa kuona wanamme watakaoingia wawili, na yule atakayekuwa mnyonge ndo ntajua ni mshkaji wako.
Kweli ndugu nimekupata kama Jason Bourne.
 
Umenena vema sana. Hivyo vigari vijumba mwanamke angeweza kuvifanya hata peke yake bila kuhitaji msaada wa mwanaume,kwani shngapi....na kuwa na watoto sio kigezo cha uanaume bwana mbona mbegu huwa zinaingizwa hata kwa mirija?

exactly wengi wao wanafikiri akishamnunulia mwanamke gari,kamuweka kwenye nyumba nzuri basi kamaliza kumbe saa zingine dharau wanazitaka wenyewe,ukitaka kuheshimiwa jiheshimu,mwanaume unarudi usiku wa manane huna muda wa kukaa na familia yako we kila siku kiguu na njia si week days si week ends au unarudi umelewa,michepuko kila kona....UNTOUCHABLE THINGS ARE MORE VALUABLE THAN THE TOUCHABLE ONES
 
Hiyo sikatai charminglady, tatizo langu ni pale shem anapoitumia changamoto yao ya ndoa kama silaha ya kumuumiza mshikaji, nilitegemea aonyeshe ushirikianao, wangeeenda wote hospitali, ama popote kwa ajili ya ufumbuzi, nilitaka shem ajue tatizo lile ni lao, lakini shem anajiaminisha kuwa halimuhusu hata! Hakukuwa na haja ya kumfananisha na bf wake, kuna tofauti kati ya bf wake na mume wake, ndio maana hakuweza kuoana na bf wake!

Mkuu, ni kweli shida iko kwa huyo mke. Wakae wazungumze chanzo cha tatizo kwanza! Mwanamke hawezi kuropoka pasi na sababu hebu sikiliza pande zote mbili kwa pamoja!
 
exactly wengi wao wanafikiri akishamnunulia mwanamke gari,kamuweka kwenye nyumba nzuri basi kamaliza kumbe saa zingine dharau wanazitaka wenyewe,ukitaka kuheshimiwa jiheshimu,mwanaume unarudi usiku wa manane huna muda wa kukaa na familia yako we kila siku kiguu na njia si week days si week ends au unarudi umelewa,michepuko kila kona....UNTOUCHABLE THINGS ARE MORE VALUABLE THAN THE TOUCHABLE ONES

Mafundisho bado yanaendelea! Thanks
 
waolewaji wengi hufuata utamu wa dudu na ujuzi wa shughuli. Kama ni kula, gari, nyumba, na vingine hata baba zao wangeweza kuwanunulia......

tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe.............................................
 
PROD PRO QUO! Something for something and nothing for nothing! Umbea for umbea! Upo hapo! Afu umbea wa my client uko classified nimebanwa kisheria! Siezi kuuza mteja wangu! Mteja mwenyewe mmoja jamvi nzima! Ukiona unasutwa siku humu mmu rember lawyer lara 1 at your services! Hahahaaaa!

hahaaa!your honour sory
please have mercy on me
mteja wako atabaki kua mteja mi ntafunga lips zangu
simwambii mtu
sheria zimewekwa kuvunjwa ndo maana kuna jela
 
mkuu client3 unakurupuka, ndoa yangu ipo ktk majaribu kutokana na mama mdogo wa wife, ambae ana ushawishi mkubwa sana kwao, financially and orally, kumpeleka peleka wife wng anavotaka, kiasi inaathiri mwenendo wa familia yangu, bahati mbaya wife haoni na hanielewi, haoni kama hilo ni tatizo!

Ni kama coincidence tu, wakati langu halijaisha, mshikaji akanijia home na hili lake!

ushaeleweka kamanda achana na maswali ya kuchosha
 
Last edited by a moderator:
huyo mwanamke atamheshimu huyo mwanaume siku ya kuvunja hiyo ndoa LAKINI NI USHAURI MBAYA USIMPE RAFIKIO
 
Last edited by a moderator:
Napenda sana kuudhi mtu mara moja moja,manake katika hasira hutoka maneno yaliyo ya kweli kabisa,
mara nyingi mwanamke aliyeolewa tayari huwa hana shida sana na mali zilizopo,kama damu inachemka ujue anachohitaji ni mchezo mzuri kitandani,
pengine anajituma kwa huyo mwanaume lakini wapi,
sasa unapotamkiwa maneno kama hayo wala usimrudishie tulizana then anza kubadilika kwa vitendo,
"unaweza kumuona mwenzio ni tatizo kumbe tatizo ni wewe"

Naheshimu mawazo yako lakini sikubaliani na wewe. Nadhani mwanamke ambae ndani ya ndoa kipaumbele chake ni ngono ana tatizo. Kama ndani ya nyumba hakuna amani, hakuna chakula hata hamu ya hiyo ngono itatoka wapi? Na kama ni ukweli kwamba tendo la ndoa hutawaliwa na akili, kama mtu hana amani hawezi kufanya ngono, je kumwambia mwenzako udhaifu wake kwa kumdhalilisha ndio ufumbuzi wa tatizo?

Mimi nadhani kumdhalilisha mwanaume kuwa hawezi tendo la ndoa ndio inaongeza tatizo la kutokujiamini na kutokufanya vizuri zaidi. Kuna baadhi ya wanawake ni wabinafsi, anataka bao 5 kila siku bila kuangalia majukumu na mihangaiko anayokuwa nayo mume siku nzima, unadhani yeye machine?
 
huyo mwanamke atamheshimu huyo mwanaume siku ya kuvunja hiyo ndoa LAKINI NI USHAURI MBAYA USIMPE RAFIKIO

Yeah mkuu Mokoyo, jamaa nadhani anaelekea huko, kuna mshikaji wetu ni mwanasheria, kashanidokeza kuwa atakuwepo ktk kikao chetu cha hapo baadae leaders, nadhani kuna vifungu vitafumuliwa ili kuifumua ndoa, nimeshaingia woga mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana ni kazi sana kwa mwanamke.kumwambia mwanamme pafomansi yake ni pua. Huwa inawala sana, na wengine things will never be the same. Bora kuuchuna? Sijui

Tusi lolote, mara nyingi huelezea yale mtu asoweza kusema akiwa hana hasira. Mshkaji wako atafute suluhu ya nait fudi, vinginevyo Mzee atatafutwa soon(may be hata washaanza kuwasiliana)

Napingana na wewe mtoa hoja kuwa uanaume ji kujenga, kulipa ada, kununua gari na kuzalisha. Uanamme ni pamoja na kutimiza majukumu yako yote unayotegemewa kuyatimiza na yako ndani ya uwezo wako.

Fikiria kwa mtindo huu, wanamme ambao hawajajenga, hawana magari, hawana watoto, si wanamme kamili? Sidhani.
Na unaweza kukuta familia zao zimeridhika nao.

BTW, leo niko hapa leaders club, muda wa lunch nitakuwa nakodoa kuona wanamme watakaoingia wawili, na yule atakayekuwa mnyonge ndo ntajua ni mshkaji wako.

Nadhani mtoa hoja hakumaanisha kuwa mwaaume ukishajenga, kulipa ada n.k hutakiwi kutimiza tendo la ndoa, akichomaanisha ni kwamba kuna vigezo vingi vya kuangalia katika kupima performance ya mwanaume ndani ya ndoa na siyo kutumia kigezo kimoja tu cha bao moja.

Ni wanaume wachache au ndoa chache ambazo zimebarikiwa kuwa na kila kitu wanachokitaka katika ndoa, wengine wana hela lakini hawana amani, wengine wanapata bao 7 lakini hawana uhakika wa kula! Hivyo huyo mwanamke kabla hajamdaririsha mumewe kwa kejeli kama hizi alitakiwa walau aangalie mazuri yake kwenye ndoa! Afterall kumkejeli hakutatui tatizo bali ndio kunaliongeza sababu mwanaume atakuwa hajiamini zaidi
 
Naheshimu mawazo yako lakini sikubaliani na wewe. Nadhani mwanamke ambae ndani ya ndoa kipaumbele chake ni ngono ana tatizo. Kama ndani ya nyumba hakuna amani, hakuna chakula hata hamu ya hiyo ngono itatoka wapi? Na kama ni ukweli kwamba tendo la ndoa hutawaliwa na akili, kama mtu hana amani hawezi kufanya ngono, je kumwambia mwenzako udhaifu wake kwa kumdhalilisha ndio ufumbuzi wa tatizo?

Mimi nadhani kumdhalilisha mwanaume kuwa hawezi tendo la ndoa ndio inaongeza tatizo la kutokujiamini na kutokufanya vizuri zaidi. Kuna baadhi ya wanawake ni wabinafsi, anataka bao 5 kila siku bila kuangalia majukumu na mihangaiko anayokuwa nayo mume siku nzima, unadhani yeye machine?

Kuna mtu humu alisema "ni ngumu sana kumuelewa manamke", sasa nshamuelewa! yaani kabisa humu wanakuja wanawake wanadeclare openly, kwamba ndoa ni tendo la ndoa tu! Nadhani kama jamii kwa ujumla wake, kuna sehemu tumekosea, ama laah kuna unafiki flani hivi umejificha? ngono inawezaje kuwa kipaumbele? zao la ngono ni watoto, sasa hawa watoto wataishije kama kipaumbele ni ngono?

Mii naijua jamii ya watu ambao wanaendekeza sana mambo ya ngono ngono na ndoa za wake wengi, mbona jamii inawasema vibaya kila kukicha, hata wanasiasa wanawabeza sana, wakati ngono ndio kila kitu? hata Mzee Yusuf wapo watu wengi wanamsema vibaya na style yake ya maisha ya kuwa na wake wengi, sasa hapa kuna nini? Hata juzi humu ilirushwa attachment ya barua ya M. Kitenge kuacha kazi ITV, wengi walikimbilia kuyajadili kwa ubaya maisha yake ya ndoa za wake wengi, sasa hii inakuaje wakati kumbe ngono ndio kipaumbele!

Lakini pia huku mitaani ndoa zinakataliwa kufungwa ama zinavunjika kabisa, kisa tu mwanaume husika hana kazi nzuri ama laah kipato chake hakieleweki kwa wahusika!

Daaah, ni ngumu sana kumuelewa mwamnamke capito!
 
Last edited by a moderator:
Yeah mkuu Mokoyo, jamaa nadhani anaelekea huko, kuna mshikaji wetu ni mwanasheria, kashanidokeza kuwa atakuwepo ktk kikao chetu cha hapo baadae leaders, nadhani kuna vifungu vitafumuliwa ili kuifumua ndoa, nimeshaingia woga mkuu!

duh ila sijashauri hivyo mkuu....naogopa sana kushauri matengano hasa kwa maslahi ya watoto
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mtoa hoja hakumaanisha kuwa mwaaume ukishajenga, kulipa ada n.k hutakiwi kutimiza tendo la ndoa, akichomaanisha ni kwamba kuna vigezo vingi vya kuangalia katika kupima performance ya mwanaume ndani ya ndoa na siyo kutumia kigezo kimoja tu cha bao moja.

Ni wanaume wachache au ndoa chache ambazo zimebarikiwa kuwa na kila kitu wanachokitaka katika ndoa, wengine wana hela lakini hawana amani, wengine wanapata bao 7 lakini hawana uhakika wa kula! Hivyo huyo mwanamke kabla hajamdaririsha mumewe kwa kejeli kama hizi alitakiwa walau aangalie mazuri yake kwenye ndoa! Afterall kumkejeli hakutatui tatizo bali ndio kunaliongeza sababu mwanaume atakuwa hajiamini zaidi

Nimeitafuta button ya like, nimeikosa!
 
duh ila sijashauri hivyo mkuu....naogopa sana kushauri matengano hasa kwa maslahi ya watoto

hapana mkuu Mokoyo, hili limetokea kabla hatujajadili hapa, kuwa na amani!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie jamaa yako ajenge heshima kwa bed.
Ada,gari,msosi wa draft na nyumba hata kwetu vipo!!!
Mbona tunapigana vikumbo maofisini me na ke ili twende sawa financially? Uanaume wake auoneshe kitandani bwana
 
Back
Top Bottom