Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,980
Heshima kwako mkuu EMT kwa tafakuri yako makini sana na pia ushauri wako, You are such a great minded Gentleman.Hivi na hili tuliliongelea kule?.
Hilo nililomshauri huyu ndugu kuhusu namna ya kuba bora zaidi on Bed, tumekwisha liongelea kwa maana nimesoma maelezo yoote lakini naona chanzo kikuu cha yoote hayo ni kiwango kibovu cha huyu mwanaume awapo kitandani (kwenye tendo la ndoa). Kwa hio akisoma zile busara zenu kule atasaidika sana kwa kuanzia na hilo then afuatie kutatua hayo mengine.
Many Thanks Bro.
Last edited by a moderator: