oh oh unaona sasa ile part ya kwanza ya story yako tungeisubiri mpaka lini?...cha kufanya kaa umweleweshe mkeo nini maana ya ndoa, mama yake asiwe mt wa tatu ndani ya ndoa yenu, ongea naye taratibu ukitia msisitizo kila neno na aone kuwa uko serious kabisa na uyasemayo mweleze wazazi tunatakiwa tuwaheshimu ndio, lakini wawekewe mipaka yao..na wakuiweka mipaka hii ni ninyi wawili kwa ustawi wamaiha a mipango yenu...shetani ni mjanja sana huwa anawatumia wale wa karibu kabisa kuzivuruga ndoa...pole sana bro ni mambo madogo sana hayo unayopitia.
mkuu client3 unakurupuka, ndoa yangu ipo ktk majaribu kutokana na mama mdogo wa wife, ambae ana ushawishi mkubwa sana kwao, financially and orally, kumpeleka peleka wife wng anavotaka, kiasi inaathiri mwenendo wa familia yangu, bahati mbaya wife haoni na hanielewi, haoni kama hilo ni tatizo!
Ni kama coincidence tu, wakati langu halijaisha, mshikaji akanijia home na hili lake!