binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,103
- 34,384
Ukifa unakuwaje umepata hasara? ukifa hujui chochote kinachoendelea hivyo hasara haikuhusu, hasara za aliyekufa huwa zinawaangukia waliobaki, katika hii case ni watoto.Hasara kubwa ni kwa mwanamke aliyekwishafariki.
Mwanaume atafunguliwa kesi ya kuua bila kukusudia. Miaka 7 katoka na maisha yanaendelea.
Ni bora upate kifungo kuliko kifo.
Je unaufahamu msingi wa hoja ya kupinga adhabu ya kifo? mojawapo ni...... tunayemuua hatajua kama tumemuua! chukua hii!