StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 5,618
- 5,885
Kama ni hivyo ndugu kiri tu kwamba ulizuzuka na huo uliouita "urembo" wake. Binadamu hata aigize utakatifu kiasi gani kama ni mtu mwenye hila kuna viashara vya uovu wake vitatoa picha halisi ya utu wake wa ndani. Chukulia mfano akiwa na wewe labda akamtukana x wake kwa vyovyote vile akitaka wewe ujione mwenye thamani zaidi kwake,papo hapo kwa mtu sensitive lazima uanze kutia zako maji au uamue kujitenga mbali kabisa na hiyo "saluni" kabla hunyanyolewa wewe ikiwa unaona kabisa kwamba nafsi yako haitaweza kuvumilia kutukanwa.Sikujua kama ana tabia hiyo before, nadhan alificha tabia hiyo kabla ya ndoa
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app