Wanawake badilikeni, mtaisha

Wanawake badilikeni, mtaisha

Mume akichepuka ujue shida imeanzia kwa mke. Mwanamke mwenye mdomo sana huwa wanaume tuliowengi hatupendezwi nae, lazima mke awe na kiasi.

Halafu mume anaweza akachepuka pasipo mke kujua chochote na heshima ikawepo kama kawaida ndani ya nyumba

Hapana, msipende kutubwagia mizigo kwa matatizo yenu. Kuchepuka sio ajali ni maamuzi. You should learn to take responsibility for your actions. Kweli mchepuke msingizie mwanamke ndio shida!! Sasa hapo uanaume wako uko wapi?

Hakuna heshima hapo, iwe inajulikana au haijulikani.
 
Duuuh!! Huo ni ugonjwa wa akili si bure.
Hivi unajua nyie wanawake huwa kunatokea mwanaume wako maishani kila ukikumbuka anavyokunanili-aga unajikuta unalowana tu, hicho ndiyo kigezo cha mwanamke kwa mujibu wa maelezo ya ke wenzie alivyowahadithia anadai ana uhakika hawezi pata mwanaume wa kumfanya akapagawa kama anavyomganyaga mumewe wa sasa. Ni ndoa yake ya pili hii japo bado umri wa ujana na ako na watoto wawili
 
Hivi unajua nyie wanawake huwa kunatokea mwanaume wako maishani kila ukikumbuka anavyokunanili-aga unajikuta unalowana tu, hicho ndiyo kigezo cha mwanamke kwa mujibu wa maelezo ya ke wenzie alivyowahadithia anadai ana uhakika hawezi pata mwanaume wa kumfanya akapagawa kama anavyomganyaga mumewe wa sasa. Ni ndoa yake ya pili hii japo bado umri wa ujana na ako na watoto wawili
Khaaaah!! Hapana kwakweli
 
Hapana, msipende kutubwagia mizigo kwa matatizo yenu. Kuchepuka sio ajali ni maamuzi. You should learn to take responsibility for your actions. Kweli mchepuke msingizie mwanamke ndio shida!! Sasa hapo uanaume wako uko wapi?

Hakuna heshima hapo, iwe inajulikana au haijulikani.
Inatakiwa siku zote upafanye nyumbani pawe ni kimbilio la mume wako amalizapo tu mihangaiko yake, sio anapachukia kwa kukumbuka shombo zako, una mdomo unaongeeeeeeeeaaaaaaaaa mpakaaa! Humalizi tu.

Halafu mjue mapungufu ya waume zenu ili iwe rahisi kwenu nyie kutuwin kiwepesi. Hakuna weakness kubwa kwa mwanaume yyt duniani kama ukimjulia namna ya kumpa (nanihiiii) ,huo huwa ni ugonjwa wetu wanaume, sasa nyie huwa mnaweka mazoea badala ya kujua namna ya kutuwin
 
Hahah JF kila mtu hujifanya mwema lakini ukija huku mtaani ndio namba moja kudunda wake zao!


Kwa kifupi silaumu mme anayechukuwa maamuzi ya kutembeza ndonga, pia silaumu mme ambaye anaamua kuwa bwege! Maneno machafu sikia tu kwa jirani yako, heri mkeo hata mkikwazana awe anapiga kimya kuliko kuwa mropokaji
 
Wanawake wana jeuri na dharau sana ..wana maneno ya shombo hata shetan anasubiri sanaa...kuna jamaa hapa pot kamtwanga mkewe hadi kadead juz hapa dar... Mwanamke jeuri sana ..pot wa watu kaamua kumtia makonde hadi kampeleka jehanum....wanawake BADILIKENI kama hamtaki ndoa semeni sio kuleta jeuri na madharau.

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile
 
Wanawake wana jeuri na dharau sana ..wana maneno ya shombo hata shetan anasubiri sanaa...kuna jamaa hapa pot kamtwanga mkewe hadi kadead juz hapa dar... Mwanamke jeuri sana ..pot wa watu kaamua kumtia makonde hadi kampeleka jehanum....wanawake BADILIKENI kama hamtaki ndoa semeni sio kuleta jeuri na madharau.

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Imeandikwa usiue
 
Inatakiwa siku zote upafanye nyumbani pawe ni kimbilio la mume wako amalizapo tu mihangaiko yake, sio anapachukia kwa kukumbuka shombo zako, una mdomo unaongeeeeeeeeaaaaaaaaa mpakaaa! Humalizi tu.

Halafu mjue mapungufu ya waume zenu ili iwe rahisi kwenu nyie kutuwin kiwepesi. Hakuna weakness kubwa kwa mwanaume yyt duniani kama ukimjulia namna ya kumpa (nanihiiii) ,huo huwa ni ugonjwa wetu wanaume, sasa nyie huwa mnaweka mazoea badala ya kujua namna ya kutuwin
Wewe umefanya nini kuhakikisha nyumbani ni kimbilio lako? Au inatakiwa yeye tu ndio akuhangaikie? Hizo shombo ni dalili za sumu kali alizonazo moyoni. Nawe tafuta wapi panamvuruga upatengeneze sio kukimbilia matatizo mengine.
 
Wewe umefanya nini kuhakikisha nyumbani ni kimbilio lako? Au inatakiwa yeye tu ndio akuhangaikie? Hizo shombo ni dalili za sumu kali alizonazo moyoni. Nawe tafuta wapi panamvuruga upatengeneze sio kukimbilia matatizo mengine.
Natekeleza majukumu yangu kama baba tekeleza majukumu yako kama mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom