Wanawake badilikeni, mtaisha

Wanawake badilikeni, mtaisha

Huyo mke wa ndoa hajakonda bado!
Kama ametulia tu na ana furaha basi ako na mwanaume mwingine ugomvi aliokuwa Anauleta ni kutafuta nafasi kuchepuka vizuri
Hajali, km ni hvyo fresh kila mtu ashinde mechi zake ila cku nikija gundua anakula red card navuta huyu mchepuko ndani
 
Unawezaje kupiga mtu hadi anazimia??🤷🏻‍♂️
 
Kama una nguvu tafuta mwanaume mpigane, au ukihisi mikono inawasha njoo nikunyooshe. Pick someone your own size.
 
Hapo kwenye moto hapo
Hakuna kitu kinamfanya mwanamke awe na adabu kama kumpa mikito ile kisawasawa hadi yeye mwenyewe anakiri kabisa kwamba kwa mikito hii kweli baba nanihii hapa nimeolewa hakiyanani maana unampelekea moto anamwaga maji hadi anafurahi na nafsi yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom