Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,376
Muone naye huyu. Ulishawahi kupigwa ngumi au kofi la usoni la nguvu? Uliona chupa hapo karibu?Unapigwa hadi unakufa umeshindwa hata kuchukua chupa ya karibu umpasue nalo!






Muone naye huyu. Ulishawahi kupigwa ngumi au kofi la usoni la nguvu? Uliona chupa hapo karibu?Unapigwa hadi unakufa umeshindwa hata kuchukua chupa ya karibu umpasue nalo!






Hajali, km ni hvyo fresh kila mtu ashinde mechi zake ila cku nikija gundua anakula red card navuta huyu mchepuko ndaniHuyo mke wa ndoa hajakonda bado!
Kama ametulia tu na ana furaha basi ako na mwanaume mwingine ugomvi aliokuwa Anauleta ni kutafuta nafasi kuchepuka vizuri
Huo ni mnuno. Nifurahi kwa kipi hapo? NiwacheeeNgosha mbona umefurahi jamani?

Kofi ndio, niliona stuli ila aliikwepa. Nikaenda polisi.Muone naye huyu. Ulishawahi kupigwa ngumi au kofi la usoni la nguvu? Uliona chupa hapo karibu?![]()
Huo ni mnuno. Nifurahi kwa kipi hapo? Niwacheee![]()




Wewe sina shida na wewe kabisaaa, tatizo ni huyo kiumbe



Ahsante.. Huyo nitamdhibiti.Wewe sina shida na wewe kabisaaa, tatizo ni huyo kiumbe![]()
Mimi hata sijui lolote Dada...Hivi unamjua au unamsikia![]()
Tumuombee tu dada.Mimi hata sijui lolote Dada...
Kawaje kwani?
Akili nayo inakuwa maji, matokeo kifo.Sio wanawake wote wanazo hizo tabia. Kama una stress zako za mapenzi nenda kanywe maji mengi
Kwenye keyboard kila mtu ni ngangari. Si ajabu vitasa ulikula, msamaha ukaomba na machinjioni (sita kwa sita) ukapelekwa. Muone!Kofi ndio, niliona stuli ila aliikwepa. Nikaenda polisi.




Kwenye keyboard kila mtu ni ngangari. Si ajabu vitasa ulikula, msamaha ukaomba na machinjioni (sita kwa sita) ukapelekwa. Muone!![]()





Mwanamke yupo hospital na anadai bado anampenda mumewe.Jesus!! Sasa maisha gani hayo![]()
Duuuh!! Huo ni ugonjwa wa akili si bure.Mwanamke yupo hospital na anadai bado anampenda mumewe.
Hatari halafu si salama
Hakuna kitu kinamfanya mwanamke awe na adabu kama kumpa mikito ile kisawasawa hadi yeye mwenyewe anakiri kabisa kwamba kwa mikito hii kweli baba nanihii hapa nimeolewa hakiyanani maana unampelekea moto anamwaga maji hadi anafurahi na nafsi yakeHapo kwenye moto hapo![]()
