Wanawake acheni ushirikina!

Wanawake acheni ushirikina!

Ndio Kwa mwanamke mtu mzima kuingiza mikono direct sehemu za siri na kujikuna huku unaangalia around kuona nani anakuona wakati Kuna watu wanapita njia na wengine wamejaa hapo huoni ni uchizi?
Mahali alipokuwa ameketi inaonekana hapakuwa na watu ni kwenye kona(achana na hao wanaosikika kucheka hao ni AI). Je, hukuona kastuka kujiweka sawa walipojitokeza wale watu waliobeba mafurushi?
Kwanini asingevunga akatafuta choo ama hata eneo la faragha akajikune akimaliza ajifunike nguo zake atoke?
Kumbuka cku hizi haaminiki mtu. Utaingia choo cha nani au kama kipo cha kulipia na kama hakipo? Ww Unadhani wale jamaa wanaokojoa hovyo nyuma ya nyumba za watu hawajui faragha?
Wewe unaweza simama ndani ya daldala ukafanya hivyo na ukaona ni sawa?
Si heri hata angejikuna juujuu ye anafunua nguo mapaja yote yapo nje anaingiza mkononi deep mtu akikuona atadhania upo sawa?
Uko sahihi. Hakuchunguza kikamilifu ufaragha wa eneo husika na pia hakuchukua tahadhari ya uwezekano wa mtu kupita hapo.
 
Ni kweli inawezekana nina tatizo pia sikatai kwasababu ni kitu kipya kwangu kuliko kawaida na nilishindwa kuelewa lengo la yeye kufanya hivyo hadharani ndo maana nikahusisha na masuala ya ushirikina. Hata hivyo nimejitahidi kuelewa kutoka kwenye comments zenu, japo kufanya hivyo hadharani ndio bado sielewi, au yeye kufanya hivyo ni kama kupiga chafya tu au kukohoa, haoni soni!
Ukiangalia hakujua kama anaonekana aliyemchukua video ndie amemkosea na kama anamjua angemfungulia mashtaka ya kumrekodi kisha kusambaza video yake bila ridhaa yake (wanasheria wanajua jinsi yakuiweka hii), mwishoni alishtuka baada ya kuhisi kuna camera, hii mitandao watu wanaitumia vibaya sana
 
1788526544576.png
 
Back
Top Bottom