Wanawake acheni ushirikina!

Wanawake acheni ushirikina!

Mkuu kwani kufungua dai tu lazima nije na mashihidi? Kuna umuhimu wa kusoma sheria kumbe
hahahaha, ndio mashahidi wawili wenye ushuhuda wa dai lako, tuwasikilize nao walichokiona kwa mtenda.
Ikiwa watakiri ni ushirkina hatua zitafuata au alikua anajikuna tutatupilia mbali dai lako.
 
  • Kicheko
Reactions: ---
Unakutana na bonge la drmu lakini ukimwangalia vizuri shingoni au kifuani ana chale. Zile hazipatikani kanisani au msikitini. Kijana ukiona hizo halama hakuna ushahidi mwingine unaoa au kutembea nachawi kimbia ufe. Wanaliwa Sana na waganga. Kama ana make up usikubali ku do naye kabla hajaoga mwili mzima hayo matope aliyojopaka yatoke ili umwone unayemshugulikia
 
Mkuu kwani kufungua dai tu lazima nije na mashihidi? Kuna umuhimu wa kusoma sheria kumbe
Sio sheria tu mkuu kuzisoma, ukiwa na kesi uwe mjanja pia.
hapo unawezwa kutupiwa swari linakuulza"kipindi mlalamikiwa anatenda jambo lile chupi yake ilikua na vishikizo vingapi au rangi gani?

au muhumiwa akaiambia mahakama kua unatatizo la afya ya hakiri.
anaiomba mahakama ijiridhishe juu yako.

usipokua makini unapanic na kupoteza point.
au ukamnyoshea kidole mtuhumiwa na mahakaman hailuhusiw
 
  • Kicheko
Reactions: ---
Wanaliwa Sana na waganga. Kama ana make up usikubali ku do naye kabla hajaoga mwili mzima hayo matope aliyojopaka yatoke ili umwone unayemshugulikia
😁😁 Kufikia level ya kumvulia mganga kwenye vile vijumba vyao, huyo mwanamke anakuwa roho ngumu sana 🙌
 
hahahaha, ndio mashahidi wawili wenye ushuhuda wa dai lako, tuwasikilize nao walichokiona kwa mtenda.
Ikiwa watakiri ni ushirkina hatua zitafuata au alikua anajikuna tutatupilia mbali dai lako.
Hapa natakiwa niwe na kutuga wangu aniwakilishe, la sivyo mkeka umechanika mapema mno
 
Back
Top Bottom