Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Hahaha babu it's a free country since 1961. Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka as long as havunji sheria ya nchi. Si kila mtu atapenda unachokipenda, so ni kuheshimu tu choices za wengine. Tatizo tu ukiwa too serious, humu ndani utanunajeee

Najua ila sipendi wajukuu zangu watoane macho!
 
Hata kama Unakipilipili Au unachogo kama Madenge jikubali.. Kuvaa mawigi ni kutoukubali muonekano wako Halisi.. Kama Unanywele nzuri au Mbaya yote ni Majaliwa. Una mkuta mdada kavaa wigi lakini Ukianza Kulishika tu unakutana na Matuta ya Viazi kichwani... Jikubali ulivyo
 
Hahaha Imebidi tu nicheke. Umeongea kweli kabisa. Kuna watu kabla hajamkubalia mtu lazima atamleta kwa friends zake, basi mkimsifia tu ndo kama mmempa go ahead. Ila ni utoto tu, yani friends ndo wakufanye umpende mtu

Weeeeh hakuna kitu kinamaliza comfidence kama friends wamdiss mtu wako unaweza jikuta unamchukia huyo mtu ghaflaaaa!!
 
We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh

sasa mwanamke anaye jilinganisha na wanawake wenzake sio mke wa mtu tena.watoto wa chuo ndo wanafanya hayo.ukiolewa mwili na uzuri wako ni mali ya mumeo pekee,hata wengine wakikuona upendezi bt mume wako anakuona unapendeza huna haja ya kuweka hayo mawigi.
Bila shaka wewe pesandogo utakuwa bado ni mtoto wa chuo.
 
nywele fake, na harufu juu, matako, fake, kope fake, kucha fake , meno fake, bikira karudishia fake , ukitaka kumuona original subiri kwenye jeneza, na kama utakubali kuwa yeye utasema mortuary wamechanganya maiti

We unamfuata wa nini si usubiri afe
 
Weeeeh hakuna kitu kinamaliza comfidence kama friends wamdiss mtu wako unaweza jikuta unamchukia huyo mtu ghaflaaaa!!

Daah inategemea na marafiki bana. Kwanza sinaga tabia ya kum-assess baby through my friends. Nawaletea tu huyu ndo shem wenu full stop. Kuna watu wakisifia tu watakufa siku hiyo hiyo. Sema namshukuru Mungu most of my friends sio watu wa kukukatisha tamaa, unless kuna taarifa mbaya mbaya hapo watakwambia tu bana kuna A, B, C
 
Hapo bado hujaongelea makeups zao..Yani wengine ukikutana nao barabarani unajiuliza leo ni Halloween day ama

Hahahaha Uso umekuwa mweupe kama Mwalimu aliyechafuliwa na Vumbi la Chaki.. Yani bila Make up nadhani wengine hata hapa wasingeongea
 
Back
Top Bottom