Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Aiseehhh mimi huwa nakerwa zaidi nahisi, yani mimi na mama watoto wangu ndo ugomvi kila kukicha,namkataza lakin wapi,unakuta wigi la rangi sijuwi kijani, sijuwi pink yani hakuna relation na uhalisia wa nywele za binadamu, siyapendi mawigi na sipendi kumuona alady amevaa

plus lipshine
 
Hii kitu niliisikia kwa mwanasaikolojia mmoja, eti women do things for their fellow women to see not men, hivi kumbe ni kweli!!

Inasemekana ndivyo ilivyo, ndo maana mwanamke mwenzie akimshauri usimkubalie fulani basi atapokea ushauri haraka zaidi. ..akisifiwa na mwanamke mwenzie anaamini, akisifiwa na mwanaume atahisi ni kwa sababu tu kuna kitu mwanaume anataka.
So vingi wanawake wanataka waonekane bora kwa wenzao wakiamini ndio ukweli wamekuwa bora
 
We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh
harufu ya miwigi yenu inanututapisha, kama unashindana na mwanamke mwenzio msikae mahali kwenye jumuia, i mean wanume. loo harufu kichwani kama mavi ya mbwa
 
Wanawake wabongo na wa ulaya bado tu kidogo tushindwe kuwatofautisha hasa baada ya juzi kugunduliwa njia rahisi ya kubadili ngozi nyeusi kuwa ya kizungu
 
harufu ya miwigi yenu inanututapisha, kama unashindana na mwanamke mwenzio msikae mahali kwenye jumuia, i mean wanume. loo harufu kichwani kama mavi ya mbwa

Mtakoma unanusa za nini na joto hili? mwisho wa siku hazikuhusu wewe ila za mkeo tu.
 
Nikificha kipilipili si changu, wewe unawashwa na nini. Mimi sijaweka hilo lkn huna haki yoyote kuwasema walioweka maana hawakuhusu.
Ninachosema ni kuwa, mkibaki na nywele natural bila Fake hair mnapendeza na kuvutia zaidi.

Kama hilo jiwe limekupata, pole
 
Hapa naona tutakesha pia. Kwa nini msikubaliane kwama ni ruksa wanaume kuwa na vitambi na pia wanawake waendelee na wigs/weaves kwa raha zao?

We yale ni maradhi, hujui maradhi ni adui mmojawapo tunaepigana nae kama taifa? Hiyo iwe kwa mwanamke au me bado ni noma.
 
Hapa naona tutakesha pia. Kwa nini msikubaliane kwama ni ruksa wanaume kuwa na vitambi na pia wanawake waendelee na wigs/weaves kwa raha zao?

Hahaha babu it's a free country since 1961. Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka as long as havunji sheria ya nchi. Si kila mtu atapenda unachokipenda, so ni kuheshimu tu choices za wengine. Tatizo tu ukiwa too serious, humu ndani utanunajeee
 
Unalazimisha sasa, ushauri haulazimishwi wala Ombi halilazimishwi. Kila mtu anacho anachotaka na sio lazima kimvutie mwingine, huna cha kufanya mtu akiamua kuvaa wig labda awe mkeo utamvua maana wengine hawajali kama huvutiwi
Mara nyingi wanawake wanashindana wenyewe maana hakuna mwanaume anayejua wigi la human hair au la laki 3 ila mwanamke mwenzie atajua na kumsifia. Sio mara zote lengo wewe uvutiwe so yanakuwa hayakuhusu

inaonekana wewe ni mhanga katika hilo maana kwa hilo povu ni aibu
 
We yale ni maradhi, hujui maradhi ni adui mmojawapo tunaepigana nae kama taifa? Hiyo iwe kwa mwanamke au me bado ni noma.

Kwa hiyo hutaki muafaka kama ule ulozaa SUK?
 
Inasemekana ndivyo ilivyo, ndo maana mwanamke mwenzie akimshauri usimkubalie fulani basi atapokea ushauri haraka zaidi. ..akisifiwa na mwanamke mwenzie anaamini, akisifiwa na mwanaume atahisi ni kwa sababu tu kuna kitu mwanaume anataka.
So vingi wanawake wanataka waonekane bora kwa wenzao wakiamini ndio ukweli wamekuwa bora

Hahaha Imebidi tu nicheke. Umeongea kweli kabisa. Kuna watu kabla hajamkubalia mtu lazima atamleta kwa friends zake, basi mkimsifia tu ndo kama mmempa go ahead. Ila ni utoto tu, yani friends ndo wakufanye umpende mtu
 
Mtakoma unanusa za nini na joto hili? mwisho wa siku hazikuhusu wewe ila za mkeo tu.
nywele fake, na harufu juu, matako, fake, kope fake, kucha fake , meno fake, bikira karudishia fake , ukitaka kumuona original subiri kwenye jeneza, na kama utakubali kuwa yeye utasema mortuary wamechanganya maiti
 
Back
Top Bottom