Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh

Hiyo sio 'competition' kama unavyofikiri bali ni utoto na kutojitambua

Au ndio unaficha kipilipili chako? Ungejua!! Kipilipili ukikiacha kinakufanya uonekane una mvuto zaidi kuliko wigi
 
  • Thanks
Reactions: Art
Yaani huwa mimi nahisi mpaka kichefu chefu kwajinsi yanavo nuka bland namuondoa thamani yote mwanamke anae vaa
 
Hii league siiwezi. Nawaachia na mpenzi wangu atoto.

Kuna mengine yanavutia lakini.

Na kuna wanaume wanayapenda sana tena wanayagaramikia wao, babu jf siku hizi ni nipe nikupe balaa tupu, tuvumilie tu wajukuu zako ndio zama zenyewe hizi.
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli Mimi pia huwa sipendi mawigi,huwa nayaona kama matakataka fulani hivi
 
Hii kitu niliisikia kwa mwanasaikolojia mmoja, eti women do things for their fellow women to see not men, hivi kumbe ni kweli!!

Hivi ushawahi kuwasikia men wanaambiana " washkaji yule demu pochi lake kali"? Mara nyingi tunasifiana na kupondana wenyewe. Wanaume wengi hata kutofautisha nywele za kawaida na weaves hawawezi let alone kujua bei
 
Mbona unajazba sana,imegusa moyo wako nini? Jamaa katoa ushauri tu wala hajakwambia wewe.Samahani kwa kuingilia mazungumzo

ukisema No wigs ni ushauri au amri? ! Ndo maana niliuliza yeye nani, kila mtu anafanya kinachompendeza sio lazima kimvutie yeye.
Hana uwezo wa kugusa moyo wangu maana sijali, nimemjibu kwa sababu nimeona anaingilia uhuru wa wengine na ndo maana nimemwambia kama ni mkewe anavaa ndo amwombe atoe wavaa wig na weaves wengine hawamhusu na hana mamlaka nao ni kujitafutia presha kwa mambo asiyoweza kutabadili. ..yaani ni sawa na kupaniki kwa kuwa na kibamia na huwezi kubadilisha hali. Presha za bure
 
Hahaha kwa raha zetyuuuu na Halloween zetu
Daddy sema vizuri hupendi weaves au gharama za weaves. Maana leo kila mtu hapendi weaves eti daah
Teh teh..Douta siogopi gharama coz hazinihusu..Mama ako anajisimamia mwenyewe kwenye hilo..Bora weaves..Ila mawig ndo siyapendi kabisa
 
Hivi ushawahi kuwasikia men wanaambiana " washkaji yule demu pochi lake kali"? Mara nyingi tunasifiana na kupondana wenyewe. Kuna wanaume hata kutofautisha nywele za kawaida na weaves hawawezi let alone kujua bei

Ni kweli kabisa mae, umenikumbusha chuoni my friend alikuwa ana weave inayofanana na nywele zake kabisaaa alafu ilikuwa inashonwa kiustadi huwezi jua km sio nywele zake, alipolichoka akalitoa kaka mmoja kwa masikitiko akamuuliza "aisee nywele zako zilikuwa zinakupendeza mnooo, why umezinyoa?" Akamjibu tu kuwa aliamua, tulicheka tukijua kinachoendelea!
 
Teh teh..Douta siogopi gharama coz hazinihusu..Mama ako anajisimamia mwenyewe kwenye hilo..Bora weaves..Ila mawig ndo siyapendi kabisa

Lakini akishonea si unamsifia alivyopendeza au hata kusifia umegoma
 
Hiyo sio 'competition' kama unavyofikiri bali ni utoto na kutojitambua

Au ndio unaficha kipilipili chako? Ungejua!! Kipilipili ukikiacha kinakufanya uonekane una mvuto zaidi kuliko wigi

Nikificha kipilipili si changu, wewe unawashwa na nini. Mimi sijaweka hilo lkn huna haki yoyote kuwasema walioweka maana hawakuhusu.
 
Ni kweli kabisa mae, umenikumbusha chuoni my friend alikuwa ana weave inayofanana na nywele zake kabisaaa alafu ilikuwa inashonwa kiustadi huwezi jua km sio nywele zake, alipolichoka akalitoa kaka mmoja kwa masikitiko akamuuliza "aisee nywele zako zilikuwa zinakupendeza mnooo, why umezinyoa?" Akamjibu tu kuwa aliamua, tulicheka tukijua kinachoendelea!

Teh hawajuagi kutofautisha hawa wenzetu, yeye atakwambia tu umependeza basi. Nilikuwa na huyo friend angu, nywele zake natural utaziona tu saloon akiwa anabadilisha weave. Ni bandika bandua
 
Na kuna wanaume wanayapenda sana tena wanayagaramikia wao, babu jf siku hizi ni nipe nikupe balaa tupu, tuvumilie tu wajukuu zako ndio zama zenyewe hizi.

Ndiyo maana niko pembeni na bibi tunachezea kitambi!
 
Back
Top Bottom