Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Teh hawajuagi kutofautisha hawa wenzetu, yeye atakwambia tu umependeza basi. Nilikuwa na huyo friend angu, nywele zake natural utaziona tu saloon akiwa anabadilisha weave. Ni bandika bandua

This is really confusing. Anaogaje? Au mpaka akienda saloon ndo anaosha kichwa.?
I cant imagine mko kwenye mambo flani na mwenza wako.. halafu akakushika kichwani na mikono iliyo'contaminated'.. haogi? How can anyone survive this??
 
jusimchukue usiku mmetoka klabu, asubuhi akitoka chooni na makeup imekwisha lazima upige ukungwi maana dracula kaingia

Kwani ulipombeba ulidhani umeopoa mzungu? Si ulijua ni mbongo mwenye wigi, unastuka nini sasa wakati huo?
 
Mkiambiwa ukweli hamtaki, mnapenda kudanganywa kila mda

We naomba nikuache huchelewi kuanza zile isue zako, wapi nimesema umetuambia uongo? Na huo ni ukweli wako sio wa kila mtu.
 
This is really confusing. Anaogaje? Au mpaka akienda saloon ndo anaosha kichwa.?
I cant imagine mko kwenye mambo flani na mwenza wako.. halafu akakushika kichwani na mikono iliyo'contaminated'.. haogi? How can anyone survive this??

Hahaha mpendwa unauliza tena anaogaje kichwani, anaosha nywele siku akifumua teh
 
Exactly, unaambiwa tu HS hapa umezingua na tulivyo sasa tukipata tu taarifa tunaitafutia evidences ndo tunakubwagia bwaaaa. Utaamua mwenyewe

na wewe ni mhanga nini?[/QUOTE
Kuna janga gani tena shemeji

Mie i love them maana ni black n white, kwamba gf hapa umebugi ila ukiangalia ukweli unaona kabisaaa kweli umebugi, mweeeh haya mambo bwana!
 
Vibaya hivyo, yaani hadi ifikie mkeo ukimsifia anachukulia poa tu basi ni balaa hilo, hamkushughulika na tatizo tangu awali.

Tatizo sio kubwa kiasi hicho..Anachukulia poa kwa vile anajua mi sio mpenzi wa hizo vitu
 
Mwanamke anaevaa hayo manywele ya maiti za wanawake wa kizungu huwa hana nafasi kwangu.
 
Kwani ulipombeba ulidhani umeopoa mzungu? Si ulijua ni mbongo mwenye wigi, unastuka nini sasa wakati huo?
usiku kwenye taa za rangi mkorogo unakuwa black, shida asubuhi, hasa ukimkuta anakipete pia kwenye K
 
Linipate kwani nakujali? Watu badala ya kuwaza maendeleo mnahangaika kuingilia mawigi ya watu wasio wake zenu, waacheni na mawigi yao

Lipo Jukwaa linalohusu maendeleo, huwa unalitembelea lakini?

Tunajaribu kuondoa imani potofu na kuigaiga vitu ambavyo havina maana yoyote. Say NO to fake hair.
 
We naomba nikuache huchelewi kuanza zile isue zako, wapi nimesema umetuambia uongo? Na huo ni ukweli wako sio wa kila mtu.

Ukipitia humu vizuri utagundua ni ukweli kila mtu ukiacha wale wachache wasiojitambua
 
Back
Top Bottom