Hayo mawig muwe mnayaloweka kwenye omo na kuyafua, yananuka na kutusababishia mafua na kikohozi. Pia hata kwenye misosi tunazila hizo nyuzi feki.
kwani na wewe unalo basi tusijuane... by the way kwa nini hua mnajipiga piga kichwani mkivaa mawigi
Wanajipiga piga coz wanawasha na wakijikuna sana litasogea..... Mimi wigi sijawahi vaa na sitawahi vaa.
Nywele nimeeka dawa-relaxer bcoz ni ngumu sana na zimejaa kichwani nashindwa kuhandle afro. Huwa ninacycles za kusuka na kuretourch-kuchana. Nasuka styles tofauti na rasta. Na sipendi kubadilisha msusi au kusuka styles zinazokata nywele.... Then nywele zikiota vizuri naeka dawa na kuchana tu.
Nikiwa saluni nakuwa mkali wasieke dawa mpaka kwenye ncha(Kama imebaki bora hio dawa watupe), natumia dawa za box, na wakati wakuosha nahakikisha ameniosha throughly, Otherwise namwambia aoshe tena, yote nikuhakikisha dawa haibaki kichwani nywele zangu zikakatika.
Nywele zangu zinaurefu mpaka past mabegani na zimejaa kichwani bcoz of kusuka mara kwa mara. Hapo ndo mtu ambae hajawahi kuzioona nywele zangu live hunishangaa na kuniuliza kwanini ninasuka wakati nina nywele nzuri.
Of course nakiri nywele ni genetics bcoz mdogo wangu wa kike pamoja na kufanya yote nifanyavyo kwenye kutunza nywele zake hazijawahi kuwa nyingi wala ndefu kama zangu hata akieka dawa, so I guess hakupata genes za hair!! ..Dogo yupo Marekani na kule masaloons ni damn expensive so ameeka natural darasani anatinga na afro lake comfortably na kuchana chana african styles na pins, bands n ornaments. Kwa kweli anapendeza.
Wanajipiga piga coz wanawasha na wakijikuna sana litasogea..... Mimi wigi sijawahi vaa na sitawahi vaa.
Nywele nimeeka dawa-relaxer bcoz ni ngumu sana na zimejaa kichwani nashindwa kuhandle afro. Huwa ninacycles za kusuka na kuretourch-kuchana. Nasuka styles tofauti na rasta. Na sipendi kubadilisha msusi au kusuka styles zinazokata nywele.... Then nywele zikiota vizuri naeka dawa na kuchana tu.
Nikiwa saluni nakuwa mkali wasieke dawa mpaka kwenye ncha(Kama imebaki bora hio dawa watupe), natumia dawa za box, na wakati wakuosha nahakikisha ameniosha throughly, Otherwise namwambia aoshe tena, yote nikuhakikisha dawa haibaki kichwani nywele zangu zikakatika.
Nywele zangu zinaurefu mpaka past mabegani na zimejaa kichwani bcoz of kusuka mara kwa mara. Hapo ndo mtu ambae hajawahi kuzioona nywele zangu live hunishangaa na kuniuliza kwanini ninasuka wakati nina nywele nzuri.
Of course nakiri nywele ni genetics bcoz mdogo wangu wa kike pamoja na kufanya yote nifanyavyo kwenye kutunza nywele zake hazijawahi kuwa nyingi wala ndefu kama zangu hata akieka dawa, so I guess hakupata genes za hair!! ..Dogo yupo Marekani na kule masaloons ni damn expensive so ameeka natural darasani anatinga na afro lake comfortably na kuchana chana african styles na pins, bands n ornaments. Kwa kweli anapendeza.
Mda mwingine zinanyofoka, zinaua stimu kabisa,
Hayo mawig muwe mnayaloweka kwenye omo na kuyafua, yananuka na kutusababishia mafua na kikohozi. Pia hata kwenye misosi tunazila hizo nyuzi feki.
Wanajipiga piga coz wanawasha na wakijikuna sana litasogea..... Mimi wigi sijawahi vaa na sitawahi vaa.
Nywele nimeeka dawa-relaxer bcoz ni ngumu sana na zimejaa kichwani nashindwa kuhandle afro. Huwa ninacycles za kusuka na kuretourch-kuchana. Nasuka styles tofauti na rasta. Na sipendi kubadilisha msusi au kusuka styles zinazokata nywele.... Then nywele zikiota vizuri naeka dawa na kuchana tu.
Nikiwa saluni nakuwa mkali wasieke dawa mpaka kwenye ncha(Kama imebaki bora hio dawa watupe), natumia dawa za box, na wakati wakuosha nahakikisha ameniosha throughly, Otherwise namwambia aoshe tena, yote nikuhakikisha dawa haibaki kichwani nywele zangu zikakatika.
Nywele zangu zinaurefu mpaka past mabegani na zimejaa kichwani bcoz of kusuka mara kwa mara. Hapo ndo mtu ambae hajawahi kuzioona nywele zangu live hunishangaa na kuniuliza kwanini ninasuka wakati nina nywele nzuri.
Of course nakiri nywele ni genetics bcoz mdogo wangu wa kike pamoja na kufanya yote nifanyavyo kwenye kutunza nywele zake hazijawahi kuwa nyingi wala ndefu kama zangu hata akieka dawa, so I guess hakupata genes za hair!! ..Dogo yupo Marekani na kule masaloons ni damn expensive so ameeka natural darasani anatinga na afro lake comfortably na kuchana chana african styles na pins, bands n ornaments. Kwa kweli anapendeza.
Aka babuwee nywele nnazo and wigs/weaves tutavaa vilevile na hazinuki wala nini just for enhancing our beautyg
Sikushangai kama ungekuwa na unyoya usingekubali kuwanukisha watu na minywele yako bandia
.
sasa je! We mbona from shoes to wallet everything is fake and we ain't say nothing huh.. MutuwacheeeeUnyoya fake?
Huyo demu wako atakuwa mchafu ndio maana ! Because wigs weaves have the way you wash it and take care of it hazinuki !Hayo mawig muwe mnayaloweka kwenye omo na kuyafua, yananuka na kutusababishia mafua na kikohozi. Pia hata kwenye misosi tunazila hizo nyuzi feki.
Huyo demu wako atakuwa mchafu ndio maana ! Because wigs weaves have the way you wash it and take care of it hazinuki !
Nilifikiri mimi tu ndio sipendi, tena wanakua kama catoon au midoli ya indonesia