Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

sasa je! We mbona from shoes to wallet everything is fake and we ain't say nothing huh.. Mutuwacheeee

Sasa unasababisha vitu vya kuvaa na kutumia kuwekea pesa na u fake wa viungo vya binadamu?
 
Ushaathirika kisaikolojia kwa Uvaaji wa Hiyo midude kwahiyo hata uambiwaje huwezi kuelewa. Bila shaka una matuta ya Viazi kichwani

Au atakuwa na saluni au duka lake anawauzia wengine,sasa hapa tunamharibia soko.
 
Wanajipiga piga coz wanawasha na wakijikuna sana litasogea..... Mimi wigi sijawahi vaa na sitawahi vaa.
Nywele nimeeka dawa-relaxer bcoz ni ngumu sana na zimejaa kichwani nashindwa kuhandle afro. Huwa ninacycles za kusuka na kuretourch-kuchana. Nasuka styles tofauti na rasta. Na sipendi kubadilisha msusi au kusuka styles zinazokata nywele.... Then nywele zikiota vizuri naeka dawa na kuchana tu.
Nikiwa saluni nakuwa mkali wasieke dawa mpaka kwenye ncha(Kama imebaki bora hio dawa watupe), natumia dawa za box, na wakati wakuosha nahakikisha ameniosha throughly, Otherwise namwambia aoshe tena, yote nikuhakikisha dawa haibaki kichwani nywele zangu zikakatika.

Nywele zangu zinaurefu mpaka past mabegani na zimejaa kichwani bcoz of kusuka mara kwa mara. Hapo ndo mtu ambae hajawahi kuzioona nywele zangu live hunishangaa na kuniuliza kwanini ninasuka wakati nina nywele nzuri.

Of course nakiri nywele ni genetics bcoz mdogo wangu wa kike pamoja na kufanya yote nifanyavyo kwenye kutunza nywele zake hazijawahi kuwa nyingi wala ndefu kama zangu hata akieka dawa, so I guess hakupata genes za hair!! ..Dogo yupo Marekani na kule masaloons ni damn expensive so ameeka natural darasani anatinga na afro lake comfortably na kuchana chana african styles na pins, bands n ornaments. Kwa kweli anapendeza.

Nitafute tafaadhwali...
 
Ushaathirika kisaikolojia kwa Uvaaji wa Hiyo midude kwahiyo hata uambiwaje huwezi kuelewa. Bila shaka una matuta ya Viazi kichwani
no Sir!!! I have my hair but if I wanna add some volume to it I WILL!
 
no Sir!!! I have my hair but if I wanna add some volume to it I WILL!

Haya bhana kila la heri katika Uvaaji wako lakini angalia lisijekupeperushwa na upepo.

Nb:Ahsante kwa heshima uliyonipa ya Kuniita SIR
 
Wanaume wanafki kishenzi! Hao wenye vipArA au tibaujuka style mnawaita bake3!! And I'm sure 90% here u banging chicks in weaves/wigs or fake skin tone:blah:

Ukiwa na m-wigi wako nakukata kama lowasa...
 
Ushaathirika kisaikolojia kwa Uvaaji wa Hiyo midude kwahiyo hata uambiwaje huwezi kuelewa. Bila shaka una matuta ya Viazi kichwani
Ibra bana! Na Kitop chako cha kijani
 
10b4d8feb736d5cdc702d03b8f191e9c.jpg
 
Namtafuta huyu MREMBO/MISS kwa gharama yoyote,anaitwa Dorice Mollel. atakayeniconnect naye asijali kuhusu pesa.
 

Attachments

  • 1453004944115.jpg
    1453004944115.jpg
    8.2 KB · Views: 80
Wanaume tungetumia akili zetu vizuri wangeacha kuyavaa. Ukiombwa fedha ya wigi humpi,akinunua mwenyewe na kulivaa ili hali hupendi wigi jifanye humjui. Atatafuta namna ya kupatana na wewe,mweleze chanzo cha ugomvi wenu. Akikupima kwa kuvaa tena sisitiza msimamo wako humjui hakujui.
 
Mwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT.

Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume unavyozishika au kujaribu kuzichezea halafu unajua kabisa hizi nywele sio.

Ni kama likofia fulani hivi linalovaliwa au kushonwa kichwani kwa mwanamke, ambayo pamoja na kwamba KIUHALISIA halimuongezei mwanamke mvuto (hata kama ni la Laki Moja), linatakiwa libadilishwe kila baada ya muda fulani.

Wanawake bakini na nywele zenu za asili, zipeni matunzo na usafi wala hamna haja ya kuhangaika na kubadilisha mawigi maana wanaume {99.99%} hatuzipendi. Zinaboa hata kuangalia.

Cha kushangaza, utamkuta mwanamke wa kibongo eti naye anahangaika kuweka liwigi lake vizuri kanakwamba linamzuia kuona vizuri wakati ni FAKE HAIR na yeye mwenyewe kaliweka hivyo kwa makusudi kuiga Wazungu.

Say NO to Fake Hair.
Hahahaha
 
Aiseehhh mimi huwa nakerwa zaidi nahisi, yani mimi na mama watoto wangu ndo ugomvi kila kukicha,namkataza lakin wapi,unakuta wigi la rangi sijuwi kijani, sijuwi pink yani hakuna relation na uhalisia wa nywele za binadamu, siyapendi mawigi na sipendi kumuona alady amevaa
Mama watoto anavaa hadi kijani amekua kinyonga..teh umetuongezea chai hapa
 
Teh teh..Yani sometimes unakuta msichana anageuka kuangalia upande mwingine ila wig limebaki straight tu..halijafwata direction ya kichwa...
Hahahaa unavijembe sana bestie...watu kama nyiee ni wachunguzi wa vitu vidogovidogo hamfai
 
Back
Top Bottom