Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Mbona wanaume nao wanacopy vitu vingi tu

Mbona wanahitaji mwonekano wakizungu basi nivizuri tuwaoe hao wazungu kumbe ni bora kuliko nyie where are you made from?from china? Mbona mnapenda kujifanya nyie ni feki wazungu ndiyo bora basi sisi hatuoi wanawake ambao not natural mzungu still natural acheni blaa blaaaaa wadada.
 
Mbona wanahitaji mwonekano wakizungu basi nivizuri tuwaoe hao wazungu kumbe ni bora kuliko nyie where are you made from?from china? Mbona mnapenda kujifanya nyie ni feki wazungu ndiyo bora basi sisi hatuoi wanawake ambao not natural mzungu still natural acheni blaa blaaaaa wadada.
Mi sizitumii ila naona anaetumia aendelee tu kutumia as long as anajiona zinamtoa
Wewe kama huoi wanaozitumia kuna wenzako wanawaoa na wanazigharamia
 
Mi sizitumii ila naona anaetumia aendelee tu kutumia as long as anajiona zinamtoa
Wewe kama huoi wanaozitumia kuna wenzako wanawaoa na wanazigharamia

Lizzy jina nzuri tena pengine mwanaume akikuita hilo jina unaweza kuchanganyikiwa unajua wanaume pia wanavutiwa na majina ya akinadada sana kama hujui weka huo uzi hapa watu wachangie baadae utanitafuta coz tuko na ako kautaalamu.
 
Lizzy jina nzuri tena pengine mwanaume akikuita hilo jina unaweza kuchanganyikiwa unajua wanaume pia wanavutiwa na majina ya akinadada sana kama hujui weka huo uzi hapa watu wachangie baadae utanitafuta coz tuko na ako kautaalamu.
Asante

Kautaalam gani hako
 
Yana washa Ndiomana tuna piga piga kichwa

du pole dear, ila mimi hasa yale ya bei ndogo sipendi aslan yanafanana na katani..... yataka mazoezi kuyashika shika kwanza ukizama ndani ya nywele kutalii unakutana na mauziuzi ya fundi nguo
 
hizi ni sababu ambazo umezileta Kuhalalisha Huu uvaaji wa hii midude.. Biashara haiwezi kufanyika kwa kuvaliwa bali kuonyeshwa kwa kutumiwa au kukutana... Sema tu kuwa tunaficha vipilipili na Mapunye Kichwani.. Hizi Sababu Siziafiki na Nazipinga
Well it's up to you dude! Kubali kataa ndio Kwanzaa tunaagiza! lol wapi ulisikia wanaagiza kipilipili😄 kitu unyoya
 
Well it's up to you dude! Kubali kataa ndio Kwanzaa tunaagiza! lol wapi ulisikia wanaagiza kipilipili😄 kitu unyoya
g
Sikushangai kama ungekuwa na unyoya usingekubali kuwanukisha watu na minywele yako bandia

.
 
wigs za kawaida ambazo sio za gharama sana kiukweli zinasaidia sana(zinaokoa pesa nyingi tunazotumiaga)coz nywele za mwanamke mpaka zitunzwe na zipendeze ni gharama sana..mara dawa,steaming,mafuta ya kukuza,ya mba,mara uzisuke ili zikue na huwezi suka twende kilioni ukaenda kazini au sehemu yoyote makini,mara shampoo na makorokocho kibaoooo.na zaidi muda mwingi unatumika.mie zamani ilikuwa huwezi kunishawishi nivae wigs nilikuwa siyapendi kabisa ila nywele zilinichosha nikanyoa kipara na kuanza kujifunza kuvaa wigs taratibu kiukweli naenjoy sana coz nimeokoa muda wangu mwingi,pesa halafu najiona niko hurusana.cha muhimu ni wadada kuzingatia usafi wa hizi nywele hasa sehemu za joto.ishi ya wanaume wengi hawapendi wanawake wanaovaa mawigs sio kweli mbona ndo mnaowaoa kila kukicha?au wanawake wavaa mawigs hawavai mashera?siku nikijisikia kuanza kusuka na kuwa na nywele zangu nitafanya hivyo,ila kwa sasa nahakikisha nikioga kichwa changu nacho kinaoga coz nywele ni fupi, afu nazipaka mafuta mazuriiii,afu nachukua wigi langu nalipulizia manukato yake mazuriiii,afu nalibandika kichwani.halafu mkumbuke si kila mwanamke ana kichwa cha kukata nywele na kukiacha hivyohivyo.
 
Kabla ya chanuo nywele zetu waafrica zilikuwa kwenye uasili wa rasta,sina maana ya rasta hizi za maplastick mnazo sukia kwenye nywele asili.
 
MAENE

Kuna style nyingi ukiwa na nywele zako natural

Muuulize mtu wako kama anapenda au kuvutiwa na hizo wigs zako

Yaan ulivyosema "afu nachukua wigi langu nalipulizia manukato yake mazuriiii,afu NALIBANDIKA kichwani" umenikata stimu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom