Lipo Jukwaa linalohusu maendeleo, huwa unalitembelea lakini?
Tunajaribu kuondoa imani potofu na kuigaiga vitu ambavyo havina maana yoyote. Say NO to fake hair.
Ukipitia humu vizuri utagundua ni ukweli kila mtu ukiacha wale wachache wasiojitambua
Hapana msimu wa joto huu nimenyoa kipara ngoto na chogo langu.
Baelezee baeleweWe nawe sayari ya wapi unatokea? Wigs ndio habari ya mjini! Unavaa wigs for so many reasons:
1) personal interest :some prefer wigs to look different and feel what they think it's good for themselves so u can't change that
2) if you wanna try to got your hair back may be ulikata kwa reason flan so wigs covers your bald head
3)business purpose! Huwezi kuadvertise unauza wigs/weave huku unakipilipili chako! Once in a while unashow what you have.
4) sometime some people find it hard to maintain kipilipili so the feel safe and good looking in wigs
All in all its how you feel and its your choice not your ' man's choice
Kumbe hii mada haikuhusu? Twende zetu tukamsubirie kwenye vitambi!
Unalazimisha sasa, ushauri haulazimishwi wala Ombi halilazimishwi. Kila mtu anacho anachotaka na sio lazima kimvutie mwingine, huna cha kufanya mtu akiamua kuvaa wig labda awe mkeo utamvua maana wengine hawajali kama huvutiwi
Mara nyingi wanawake wanashindana wenyewe maana hakuna mwanaume anayejua wigi la human hair au la laki 3 ila mwanamke mwenzie atajua na kumsifia. Sio mara zote lengo wewe uvutiwe so yanakuwa hayakuhusu
Lipo kichwani kwako usipolitoa hilo wigi
Huna haki eneo hilo, hazikuhusu hizo fake hair waachie wavaaji labda kama kimoyo moyo unazitaka.
Unapinga usichoweza kuzuia.
Acha nimalizie weekend yangu, kumbe bado mi mbishi namkimbizia kansiime sasa.
Kweli babu twende, hainihusu kwa leo.
We nawe sayari ya wapi unatokea? Wigs ndio habari ya mjini! Unavaa wigs for so many reasons:
1) personal interest :some prefer wigs to look different and feel what they think it's good for themselves so u can't change that
2) if you wanna try to got your hair back may be ulikata kwa reason flan so wigs covers your bald head
3)business purpose! Huwezi kuadvertise unauza wigs/weave huku unakipilipili chako! Once in a while unashow what you have.
4) sometime some people find it hard to maintain kipilipili so the feel safe and good looking in wigs
All in all its how you feel and its your choice not your ' man's choice
Fake hair zenu zinatuondolea sisi wanaume hisia za mapenzi
Summary:We nawe sayari ya wapi unatokea? Wigs ndio habari ya mjini! Unavaa wigs for so many reasons:
1) personal interest :some prefer wigs to look different and feel what they think it's good for themselves so u can't change that
2) if you wanna try to got your hair back may be ulikata kwa reason flan so wigs covers your bald head
3)business purpose! Huwezi kuadvertise unauza wigs/weave huku unakipilipili chako! Once in a while unashow what you have.
4) sometime some people find it hard to maintain kipilipili so the feel safe and good looking in wigs
All in all its how you feel and its your choice not your ' man's choice
Kwanini useme hawajitambui? Huko kutokujitambua umekutambuaje? Ni kitu gani kikufanye umuone yule anayependa na kumnunulia mkewe au mpenziwe weaves kuwa hajitambui??
hizi ni sababu ambazo umezileta Kuhalalisha Huu uvaaji wa hii midude.. Biashara haiwezi kufanyika kwa kuvaliwa bali kuonyeshwa kwa kutumiwa au kukutana... Sema tu kuwa tunaficha vipilipili na Mapunye Kichwani.. Hizi Sababu Siziafiki na Nazipinga