Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
sonko jr Heaven Sent..ichekini kwenye link hapo juu
Last edited by a moderator:
sonko jr Heaven Sent..ichekini kwenye link hapo juu
Hivi ushawahi kuwasikia men wanaambiana " washkaji yule demu pochi lake kali"? Mara nyingi tunasifiana na kupondana wenyewe. Wanaume wengi hata kutofautisha nywele za kawaida na weaves hawawezi let alone kujua bei
teh teh..Yani ujanja ndo kulificha papuchini?..Halafu atleast huyu nywele zake kazibana fresh..pata picha ndo una mabutu kichwani..Unaweza kuondoka kwenye shughuli bila kuagaHahah daddy nimeiona, mwenyewe busy na doro bucci yake. Ashukuru rafiki ake naye mjanja. atoto siku wigi langu likidondoka fanya tu kunifichia siri teh
Ni kweli. Kuna siku nilishonea weaving jioni Mr.ananiuliza nywele leo umeset style gani.Nkamwambia ni weaving hata alikua haelewi.Sema ndo ivo sikumaliza nalo week kichwani kila siku analiponda.
Hahaaaaaa mkuu umenifurahisha aisee mi sio mkorofi ila sipendagi ujinga wa makusudi kabisa. Am so cool huwezi amini
teh teh..Yani ujanja ndo kulificha papuchini?..Halafu atleast huyu nywele zake kazibana fresh..pata picha ndo una mabutu kichwani..Unaweza kuondoka kwenye shughuli bila kuaga
Sonko Jr. kuna video nimeiona insta now nikakumbuka uzi wako..Dada amejiachia anacheza wig likadondoka..Shosti ake ili kumsitiri kaamua kulificha kwenye chupi watu wasilione Heaven Sent umekutana na hiyo video??..
sonko jr Heaven Sent..ichekini kwenye link hapo juu
Hahahaa jidanganye tu
Hao watu sio labda umkute mpole
Kwani nani anapenda ujinga....mwanamke unatakiwa kuwa soft bwana sio unakuwa kama jiwe, hizo tabia za umwamba waachie wanaume....
Kuna watu wapenda kuendekeza upuuzi sasa ukiruhusu mazoea lazima wakupande kichwani.
Hahaaa u soft unategemea na character ya mtu Ku handle issues mbalimbali,including caring lakini ubabe kutokuthamini hapo patanishinda kabisa
Mwanamme amekuzidi nguvu ,ukorofi gani unatarajia kuufanya
We mbabe shost, isije ikawa ni ubabe wa mdomoni tu maana hiyo haitoshiMi mtu akiwa mkorofi na Ku act kiukorofi wee na Mimi nakua Mara mbili yake chah nisivopenda ubabe usio na kichwa wala miguu.
Physically amenizidi nguvu lakini siwezi kuruhusu anifanye vibaya nitatumia kila mbinu kumuweka kwenye mstari unaotakiwa hata asifurukute
Mbinu zipi hizo,au goli la mkono?
We mbabe shost, isije ikawa ni ubabe wa mdomoni tu maana hiyo haitoshi