Kuna wale Team Mawigi sugu hata ukiwaletea habari za google wataona kama unawazingua, labda mpaka wao wenyewe wakutane nazo wenye maombi
Huwa napata shida sana kuwaza unawezaje kusimama na kuanza kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake halafu kichwani umemkosoa kwa kuweka vitu ambavyo yeye hakukuumba navyo. Unakuta midude migumu kwa ndani mtu kashonwa na nyuzi kichwani yaani kisa fashion halafu ngoja uzi uachie bahati mbaya huwa nacheka sana kwani wengine niko nao ofisini mara ooo naomba nirekebishie