Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Nami nasema hivi, hata msiyapende, kuna baadhi yetu hatufanyi kwa ajili yenu, kuna wanawake wengi sana wako local (natural) go and opt for them. Yanini kujipa pressure kwa vitu visivyokuhusu?

Kwenye hii sayari mnaishi na sisi, 99.99% hatuzipendi, wewe kama unazipenda jua ni ulimbukeni uliopitilizaaa

Kwahiyo unavyoigaiga kuwa Mzungu kwa kuvaa Fake Hair ndo unakuwa international? Ndo unavyojidanganya

Tunataka kurudisha wanawake katika misingi ya urembo na mvuto, misingi ambayo mnaacha kwa kasi
 
Inasemekana ndivyo ilivyo, ndo maana mwanamke mwenzie akimshauri usimkubalie fulani basi atapokea ushauri haraka zaidi. ..akisifiwa na mwanamke mwenzie anaamini, akisifiwa na mwanaume atahisi ni kwa sababu tu kuna kitu mwanaume anataka.
So vingi wanawake wanataka waonekane bora kwa wenzao wakiamini ndio ukweli wamekuwa bora

Absolutely right! Ikitokea mwanamke amekusifia basi ujue yamemfika hapaaaa, ameshindwa kuvumilia. Men wanasifia ili kutengeneza njia ya kile wanachotaka kuomba.
Ngoja nikupe mfano, chuo nilisoma mkoani miaka hiyoooo mi pia wamkoani lakini nina exposure yakutosha maana nimezurura sana, kwahiyo nilikuwa mjanja wao yaani nawakimbiza ile mbaya, ikatokea kila nikiwa naenda lecture njiani wadada watanisimamisha (nilikuwa natembea mwenyewe mwenyewe mara nyingi) basi wale wanaopenda vya kijanja wataniuliza hiki nimenunua wapi hiki wapi, nimesuka saluni gani na vitu kibao, as time goes nikatengeneza marafiki kwa mtindo huo, basi nikaona why nisianze biashara? wakati kila kitu changu inatokea kinapendwa na wadada wengi? Since there nikawa mjasiriamali, hadi leo hii nafanya biashara zangu na wanawake, chuomates wengi washaolewa wameshamove sehemu nyingine lakini akiona hata dp yako atasema na mi nataka hicho kitu, namtumia kiroho safi.

Kwanini nimeyasema hayo yote? Nilitaka tu kuthibitisha kuwa wanawake ndio tunaoelewa stuffs zetu mara nyingi sio wanaume. Na mwanamke akikusifia basi jua she is real.
 
Hahaha babu hii ni "fair game". Na wewe hupendi weaves?

Mi sipendi ila ndo hivyo nimekubali yaishe, maana mna sababu lukukiiiiiiiii
Mara nachoka kusuka, mara nakosa muda wa kwenda saluni, mara nachoka kuandaa nywele asubuhi, mara sijui nini daaah, basi bwana ntafanyaje sasa!!! make unalazimishwa kupenda usichopenda
 
Kwenye hii sayari mnaishi na sisi, 99.99% hatuzipendi, wewe kama unazipenda jua ni ulimbukeni uliopitiliza??

Kwahiyo unavyoigaiga kuwa Mzungu kwa kuvaa Fake Hair ndo unakuwa international? Ndo unavyojidanganya

Tunataka kurudisha wanawake katika misingi ya urembo na mvuto, misingi ambayo mnaacha kwa kasi

Bwana weee! Mwanamke wa nani umrudishe kwenye hiyo unayoiita misingi ya urembo? Ikiwa sisi wenyewe hatuamini katika unaloamini wewe? Why can't you deal with your wife anyway! ?
Ikiwa sisi ni malimbukeni tunakuathiri vipi labda? Kuiga uzungu! Naomba tuanze kuchambua moja moja tuliloiga kwa wazungu halafu tuyaache, ikiwezekana basi na mimi ntaacha kujiremba na kuweka fake hairs!
 
Bwana weee! Mwanamke wa nani umrudishe kwenye hiyo unayoiita misingi ya urembo? Ikiwa sisi wenyewe hatuamini katika unaloamini wewe? Why can't you deal with your wife anyway! ?
Ikiwa sisi ni malimbukeni tunakuathiri vipi labda? Kuiga uzungu! Naomba tuanze kuchambua moja moja tuliloiga kwa wazungu halafu tuyaache, ikiwezekana basi na mimi ntaacha kujiremba na kuweka fake hairs!

Kama huamini hizo principles ndo kutokujitambua kwenyewe, upo??

Mkiwa malimbukeni mnatusababishia tuvute hewa chafu tukiwa kwenye meeting yoyote mliopo

Kama hukupewa nywele ndefu kama Wazungu au wahindi ya nini uhangaike kuweka za bandia ili ufanane nao? Kwanini usijikubali, ya nini ushindwe kujiamini?
 
Naomba tuwe wakweli kabisa ķwa joto la Dar na jinsi watu tulivyo busy na maisha, muda ni mdogo sana, sana sana mtu ataenda weekend kusafisha wigi lake hebu tujadili mijasho ya siku mfano 3 tuu huko kichwani kweli kaharufu kana kwepeka?

Wigi unavua ukirudi, weaving unasafisha weekend na unakaa nalo 2 weeks maximum labda ununue ya hela ndogo ndo yana material kama nailoni yana sweatisha na kuosha utata. Sasa ukivaa mwezi unategemea nini.
Kama wewe hupendi kitu haimaanishi ni kibaya kwa wote. Huwezi ukawa unashinda juani ukalinganisha na anayeshinda kwenye a.c. Hata uwe bize usafi wako ni kipaumbele mwanamke.
Ukinuka kichwani ni wewe na usafi wako binafsi.
Wanaoweka nywele hizo hawakuhusu wewe wala hizo nywele zao hazikuhusu maana umesema huzipendi. Hakuna mwenye haki ya kuingilia uhuru wa mtu na mwili wake nje ya taasisi ya ndoa.
 
Team Mawigi inabidi muelewe kuwa wanaume 99.99% hatupendi na hatuvutiwi na Fake Hair.

Wanawake wakifanya kila wanaloweza kufanya na nywele zao za asili wanapendeza na kuvutia zaidi, Full Stop

Utalia lia sana baba
 
Kama huamini hizo principles ndo kutokujitambua kwenyewe, upo??

Mkiwa malimbukeni mnatusababishia tuvute hewa chafu tukiwa kwenye meeting yoyote mliomo

Kama hukupewa nywele ndefu kama Wazungu au wahindi ya nini uhangaike kuweka za bandia ili ufanane nao? Kwanini usijikubali, ya nini ushindwe kujiamini?

Hakuna uhusiano wa hizo principles zenu na kujitambua.
Btw kwanini nijikubali ili iweje halafu nimfurahishe nani? My happiness matters alot! Kuiga uzungu na uhindi kupo tu kwenye nywele za wanawake? Nimekuomba tuache vyote ambavyo si tamaduni zetu, tukishindwa basi kila mtu aendelee kuishi maisha yake.
Nafikiri dunia itakuwa sehemu salama sana ya kuishi kama kila mtu ataishi awezavyo bila kuathiri uhuru wa mwingine!
Hahahha! Hapo kwenye harufu mhhh haiwezi kuwa kweli! Mdada anayejipenda hawezi kutembea na harufu kichwani! Unless huwa unameet watoto wa shule!
 
Nilitaka tu kuthibitisha kuwa wanawake ndio tunaoelewa stuffs zetu mara nyingi sio wanaume. Na mwanamke akikusifia basi jua she is real.

Wenzako wajanja huwa wanawauliza wanaume walio nao kwenye mahusiano, wawaambie kama wamependeza au wamebugi maana jibu watakalopata hapo ni la ukweli na linawaongezea confidence 1000%
 
Absolutely right! Ikitokea mwanamke amekusifia basi ujue yamemfika hapaaaa, ameshindwa kuvumilia. Men wanasifia ili kutengeneza njia ya kile wanachotaka kuomba.
Ngoja nikupe mfano, chuo nilisoma mkoani miaka hiyoooo mi pia wamkoani lakini nina exposure yakutosha maana nimezurura sana, kwahiyo nilikuwa mjanja wao yaani nawakimbiza ile mbaya, ikatokea kila nikiwa naenda lecture njiani wadada watanisimamisha (nilikuwa natembea mwenyewe mwenyewe mara nyingi) basi wale wanaopenda vya kijanja wataniuliza hiki nimenunua wapi hiki wapi, nimesuka saluni gani na vitu kibao, as time goes nikatengeneza marafiki kwa mtindo huo, basi nikaona why nisianze biashara? wakati kila kitu changu inatokea kinapendwa na wadada wengi? Since there nikawa mjasiriamali, hadi leo hii nafanya biashara zangu na wanawake, chuomates wengi washaolewa wameshamove sehemu nyingine lakini akiona hata dp yako atasema na mi nataka hicho kitu, namtumia kiroho safi.

Kwanini nimeyasema hayo yote? Nilitaka tu kuthibitisha kuwa wanawake ndio tunaoelewa stuffs zetu mara nyingi sio wanaume. Na mwanamke akikusifia basi jua she is real.

Unajielezea au unafanyaje? mickuelewi naona uko nnje ya post kabisa tunachozungumzia ni mawigi cjui chuo ulichosoma ni chakutega samaki hueleweki
 
Huo ni mtazamo wake siwezi mlazimisha kila mtu akawa na mtazamo kama wangu but mimi kukaa hata siku mbili na mijasho ya Dar siwezi hapa ntaambiwa mambo ya fashion ila kwa fashion hii nilikwisha kubali inipite.

Huna hela ya weaving original hafu acha kujitekenya ndo mini kujihangaisha na ....... Nyingi hapa jukwaani.
 
Unajielezea au unafanyaje? mickuelewi naona uko nnje ya post kabisa tunachozungumzia ni mawigi cjui chuo ulichosoma ni chakutega samaki hueleweki

Siku nyingine upunguze kiherehere cha kudandia gari kwa mbele, huwezi elewa chochote! Niliyemquote ataelewa kwasababu anajua ninini alikisema.
Nimeeleza ni kipindi gani na katika situation gani nilijua (nilitambua) kuwa wanawake ndio tunaoelewana yakija masuala mazima ya urembo wetu.
 
Wenzako wajanja huwa wanawauliza wanaume walio nao kwenye mahusiano, wawaambie kama wamependeza au wamebugi maana jibu watakalopata hapo ni la ukweli na linawaongezea confidence 1000%

Kama huyo uliyenaye kwenye mahusiano anapata confidence ukimsifia wewe it's okay! As for me confidence nakuwa nayo mwenyewe, marafiki wanawake wakinisifia confidence inaongezeka. Vipi inakuumiza sana?
 
mnaponda wakat hizo nywele bandia zinalisha na kusomesha familia zenu, wengine mna maduka makubwa tu! kataeni na hela zetu basi tukija kununua, tuacheni tufanye yetu bana....Leo nimevaa my new wig kwa raha zangu
 
Kama mwanaume hana nia ya kumuoa mtu hata utoe wigi hakuoi, usitudanganye hapa. Hao wanaume wengi mbona wanawaacha dada zao wavae/wasuke ni kwamba hawataki dada zao waolewe! ! Nadhani muanze kuwashauri mnao onana nao, huku mtandaoni hatujali.


Wewe utakuwa team wigi maana hasira zako hatare. La msingi ujue tu hampendezi. Likely nawewe haupendezi hata kama unachukia. Hahaha
 
Naona Engine yako inahitaji kupumzishwa, mi niko na V8, sijui utanikutia wapi

Ushaonesha ushamba wako muda kweli, nakuangalia tu unavyopanic, hujui hata kama wigi wanavaa na kuvua, unaulizia wanajisikiaje wakichana, uliponichekesha ulipoopoa mdada mwenye wigi asubuhi unakimbia...nilikuuliza, ulidhani ni mzungu hukujibu. Si ulimbeba mwenyewe. Huo ndo ulimbukeni halisi.
 
Back
Top Bottom